Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache waowane Ehh!, Be strong mwambie tu siku moja moja akuletee uipige.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing
Wakitendwa nyuzi za kataa ndoa kila kukicha, wanageuka watoa ushauri nasaha.😂😂😂😂kwa ninavyosomaga mitizamo ya wanaume humu huwa siamini kama na nyie mnaumiaga kweli, hapa mwenzio naona kama unajifanyisha tu au km ni kweli basi ulikuwa mzembe! Ila kuna raha flani naipataga mkiweweseka kama hivi maana na nyie kwa kupiga matukio mnaongoza ubao,
Hana mwisho mwema, kukujulisha kaolewa ni anakuringishia, inaonekana bado anakupenda sana best revenge ni fanya juu chini umkule halafu mpe shits 3 za kumkosesha raha ili kokote atakakokuwa asirudie tena,
Ndo yule ulimnunulia kile kipodozi cha elf 50?
Huyu nimemuhurumia kidogo sijui kwanini au ushauri wangu hapo chini niufute, naona anajiandikia comment kumi kumi😂😂 huyu hanaga vurugu lakini, ila kuna wenzie nimeshawaona ingekuwa hao ningewaongezea maumivuWakitendwa nyuzi za kataa ndoa kila kukicha, wanageuka watoa ushauri nasaha.
Mkuu umejoin JF 2010...Alikua chuo, kamaliza tu chuo ndio imetokea hivo, ata graduu bado ni November,
🤣🤣🤣🤣Wakitendwa nyuzi za kataa ndoa kila kukicha, wanageuka watoa ushauri nasaha.
Kwa nini asifanye hivyo mkuu?Au nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi
Wengine tuna roho ngumu tushapigwa matukio na hata hatujaandika kokote ni vile tu Pole pole ndio Mwendo. Na haraka haraka haina baraka japo na ngoja ngoja nayo huumiza matumbo 🤣🤣🤣Huyu nimemuhurumia kidogo sijui kwanini au ushauri wangu hapo chini niufute, naona anajiandikia comment kumi kumi😂😂 huyu hanaga vurugu lakini, ila kuna wenzie nimeshawaona ingekuwa hao ningewaongezea maumivu
No matter how hardly you do, You can't change has already happened. Unachotakiwa ni wewe kubadirika mkuu, lilitokea huwezi kulibadiliAu nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi
Usipompotezea utamfanya nini?Au nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi
Form 6, bellow 35, nimejuana nasoma Masters yeye degree, if it will helpMkuu umejoin JF 2010...
Definitely kwa mwaka huo kujiunga JF you must be 40 plus now .. sijui labda kama ulikuwa earliest elites wa internetes...lakini hata hivyo hupungui 35+ of age.
Asa huyo binti anayemaliza chuo leo ..vipi tena!??
Oya! Mkuu kuwa mwanaume, unafikiri yeye hana picha zako mbaya?Nifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Bado hujapigwa vizuri, mad max umemsoma lakini? Unafikiri ndo demu wake wa kwanza kumuacha, namsomaga km hanaga fujo sana lakini amefikia kuwaza hata kuanika picha zake mbaya ujue mwamba UMEPATWAWengine tuna roho ngumu tushapigwa matukio na hata hatujaandika kokote ni vile tu Pole pole ndio Mwendo. Na haraka haraka haina baraka japo na ngoja ngoja nayo huumiza matumbo 🤣🤣🤣
Nimepata new vocabulary..Come on man! Don’t be a simp.
Acha nikuibie siri, tunaumia pale tunamkuta mtu mlie achana kanona na kanawiri halafu hana stress🤣🤣🤣😂😂😂😂kwa ninavyosomaga mitizamo ya wanaume humu huwa siamini kama na nyie mnaumiaga kweli, hapa mwenzio naona kama unajifanyisha tu au km ni kweli basi ulikuwa mzembe! Ila kuna raha flani naipataga mkiweweseka kama hivi maana na nyie kwa kupiga matukio mnaongoza ubao,
Hana mwisho mwema, kukujulisha kaolewa ni anakuringishia, inaonekana bado anakupenda sana best revenge ni fanya juu chini umkule halafu mpe shits 3 za kumkosesha raha ili kokote atakakokuwa asirudie tena,
Ndo yule ulimnunulia kile kipodozi cha elf 50?
Lipa mabaya kwa mema Mkuu, usipaniki hata hizo picha zake zifute. Huwezi jua ni kwanini imetokea hivyo. Songa mbele achana na visasi. Hawa viumbe wana kera sana lakini kunyamaza na kukaza moyo hiyo ndio njia sahihiNina picha zake google photos like 10GB na videos, mi nikizipost namchafua mazima