blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Safi.Yeah I see it now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi.Yeah I see it now.
Ndio MkuuNa wewe una shida na demu wako!?
Pole na wewe.Ndio Mkuu
Ha ha ha Kujifariji Muhimu, ili Maumivu yapungue.Dua la kuku😂😂😂
Wanakuwa hawajatuma ya kutolea na kula njiani sasa hapo hata wewe ungefayaje?Umieni tu asee kuna vijana nilisikia wanalalamika mnakula nauli bila kufika😁😁😁😁
Naona unafurahi Mshikaji wetu kuumizwa eeh 🤣🤣🤣🤣Toa mwingine unaomake sense.
Dah hapa msamehe kwa kuwa alkuwa anapiga kukutumia wakati mpo na good times usimfanyie ubaya cc Fake PNifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Mkuu kwa nini sikweli mm nimeanza fatilia JF 2012 nikiwa form five, nikajiunga 2014 nilivoingia chuo lkn mpaka sasa niko below 33. Sasa yeye kwa nini ukatae hayuko below 35.Si kweli..
Na uongo huu huenda ndo umekugharimu.
mpaka anakutumia msg kukutaarifu ina maana anakutaka alitaka akuumize. baadaye mtaanza kupasha. sasa kama mmeachana mwezi wa 8 ndani ya miezi 2 anaolewa huenda walikuwa pamoja muda pia.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Ale makande kwake akifika ndio tunamthaminisha ale nini kulingana na yeye alivyo😁😁😁Wanakuwa hawajatuma ya kutolea na kula njiani sasa hapo hata wewe ungefayaje?
Mapensi na hekaheka zake love sio poaaaa