Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na mnaumiaga kweli😂😂Acha nikuibie siri, tunaumia pale tunamkuta mtu mlie achana kanona na kanawiri halafu hana stress🤣🤣🤣
Mnapenda mkituacha mtukute tumepaukiana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mnaumiaga kweli😂😂Acha nikuibie siri, tunaumia pale tunamkuta mtu mlie achana kanona na kanawiri halafu hana stress🤣🤣🤣
Piga calculation una mdai kiasi gani kisha msogezee mkekaAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Nipo nachukua notes 😂😂😂Upo shindikana?
Na kweli😂😂😂Ha ha ha Kujifariji Muhimu, ili Maumivu yapungue.
Hapana, hapa ninalia hadi kwikwi😭😭😭😭Naona unafurahi Mshikaji wetu kuumizwa eeh 🤣🤣🤣🤣
Km kuna mpera hapo karibu mkuu chukua ushauri huu sogea angalia km una mapera anza kuchuma moja moja tafuna huku ukiwa unaendelea kutafakari vizuri, nna hakika km mapera yapo mengi huwezi kuyamaliza yote ukishashiba najua utakua ushajua nini cha kufanyaAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Though hayanaga muongozo...Eeeendiwoo😁!
Kama kaolewa kwa akili za hasira itamgharimu maisha take yote lo!
Kama wako ni wako tu nomarawaaa🤭
Acha nikuibie siri, mimi kuna mtoto nilimwacha ila sasa kanona , ikabidi mpaka nimblock wasp yake alikua ananirusha roho kinyama, na mimi nilivyo na kiburi nikawa sijigusi hata, ila akazidisha nikamlima kadi nyekundu chap😅😅😅Na mnaumiaga kweli😂😂
Mnapenda mkituacha mtukute tumepaukiana!
Reserve ni muhimu, just in case😂😂Mwezi wa 8 mgombane Leo mwenzio ni mrsD...huoni huyo Tyr alikuwa na mtu wake na wewe ulikuwa ni wa kuzugia tu.
Acha ufala...hata km ungeoa bado angepigwa nje na huyo jamaa.
Huku ukiwa umakali (kigoda)Hapana, hapa ninalia hadi kwikwi😭😭😭😭
Nimeamini hivo, watakua walianza kujuana akiwa na mimi, sana sana mwaka huu 2024 coz kuna redflags nilianza kuziona ila nikajua najishtukia.Mwezi wa 8 mgombane Leo mwenzio ni mrsD...huoni huyo Tyr alikuwa na mtu wake na wewe ulikuwa ni wa kuzugia tu.
Acha ufala...hata km ungeoa bado angepigwa nje na huyo jamaa.