Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Piga calculation una mdai kiasi gani kisha msogezee mkeka
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Km kuna mpera hapo karibu mkuu chukua ushauri huu sogea angalia km una mapera anza kuchuma moja moja tafuna huku ukiwa unaendelea kutafakari vizuri, nna hakika km mapera yapo mengi huwezi kuyamaliza yote ukishashiba najua utakua ushajua nini cha kufanya
 
Mwezi wa 8 mgombane Leo mwenzio ni mrsD...huoni huyo Tyr alikuwa na mtu wake na wewe ulikuwa ni wa kuzugia tu.

Acha ufala...hata km ungeoa bado angepigwa nje na huyo jamaa.
Nimeamini hivo, watakua walianza kujuana akiwa na mimi, sana sana mwaka huu 2024 coz kuna redflags nilianza kuziona ila nikajua najishtukia.
 
Back
Top Bottom