Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mkuu kwa nini sikweli mm nimeanza fatilia JF 2012 nikiwa form five, nikajiunga 2014 nilivoingia chuo lkn mpaka sasa niko below 33. Sasa yeye kwa nini ukatae hayuko below 35.
Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
 
Ganga yajayo Mkuu inauma sana, Kuna Binti nilijuana naye toka mwaka 2009 na tulikutana sehemu tofauti na tukajikuta tumetengeneza upendo kabisa. Upendo usio kuwa na chembe ya uoga. Na yeye alikuwa wa kwanza kunipeleka kwao na alikuwa anafosi sana niende. Aisee nilioneshwa heshima ya juu na Binti aliandaa chakula cha asili yetu Wanyantuzu, Makande yale magumu kama ugali. Mlenda na ugali wa dona na Mziwa wa Mtindi. Nikala na Mshua wake mezani, Aisee ile moment imechukua muda mrefu kunitoka. Cha kushangaza alipata kazi mkoa tofauti eeh na mawasiliano yakawa mabovu mara hapokei, mara anajibu kikauzu sana. Heeeh Mwaka 2022 Nov naona kwenye status yake Ameshakuwa Mrs Somebody. Wanawake wana mipango zaidi ya milion kichwani
😂😂😂😂😂😂
 
Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Kuna elites wamekuwa na internet makwao, hawajaikutia chuo
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
We nawe!

Alikua na huyo jamaa tangu zamani na ndio chanzo Cha ugomvi wenu!

Ndoa haiwezi Toka from nowhere lazima Kuna process kadhaa kabla!

Mshukuru Mungu huyo hakua wako!

Halafu unalia Lia Nini wakati ke wengi sikuhizi ni pasua kichwa Bora hata wale makahaba pale manzese mnamalizana kuliko Hawa was kwenye relationship!

Acha ujinga man!
 
Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Aya
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Kataaa ndoaa,ndoa ni UTUMWA
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
ndoa na iheshimiwe na watu wote....

hayo ni matokeo ya zile ups and sown mlizikua mnapitia..

na hilo ndilo jawabu la kukaushiana kwa muda mrefu sana...

make that as as advantageous opportunity of moving on wisely and very seriously :pulpTRAVOLTA:
 
ndoa na iheshimiwe na watu wote....

hayo ni matokeo ya zile ups and sown mlizikua mnapitia..

na hilo ndilo jawabu la kukaushiana kwa muda mrefu sana...

make that as as advantageous opportunity of moving on wisely and very seriously :pulpTRAVOLTA:
Mkuu nikikuona na hilo ji koti lako na hisi ni zile harakati zetu za uchawa tu😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom