Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mkuu umejoin JF 2010...
Definitely kwa mwaka huo kujiunga JF you must be 40 plus now .. sijui labda kama ulikuwa earliest elites wa internetes...lakini hata hivyo hupungui 35+ of age.

Asa huyo binti anayemaliza chuo leo ..vipi tena!??
Kawaida tu, hata mimi pamoja na mwaka wa kujoin JF ila hiyo miaka hata sijawaza kuikaribia kwa sasa.

Pia upande wa pili mabinti hawa wa siku hizi wanaangalia Hela, Umri sio inshu kwao.
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Gonga kvant utasahau kila kitu
 
Back
Top Bottom