blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Si kweli..Form 6, bellow 35, nimejuana nasoma Masters yeye degree, if it will help
Na uongo huu huenda ndo umekugharimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli..Form 6, bellow 35, nimejuana nasoma Masters yeye degree, if it will help
Inawezekana lakini hiyo niliyompa kwetu sie wanawake ni maumivu +++Acha nikuibie siri, tunaumia pale tunamkuta mtu mlie achana kanona na kanari halafu hana stress🤣🤣🤣
Tulia wewe, toa ushauri😂😂🤣🤣🤣🤣
Yaani siamini na Wewe kama una maneno ya shombo kama haya.
Mpaji Mungu yaani Sister wako sikutegemea
Kawaida tu, hata mimi pamoja na mwaka wa kujoin JF ila hiyo miaka hata sijawaza kuikaribia kwa sasa.Mkuu umejoin JF 2010...
Definitely kwa mwaka huo kujiunga JF you must be 40 plus now .. sijui labda kama ulikuwa earliest elites wa internetes...lakini hata hivyo hupungui 35+ of age.
Asa huyo binti anayemaliza chuo leo ..vipi tena!??
Duh, wewe mshamba kinoma kumbeNifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Na wewe una shida na demu wako!?Kawaida tu, hata mimi pamoja na mwaka wa kujoin JF ila hiyo miaka hata sijawaza kuikaribia kwa sasa.
Pia upande wa pili mabinti hawa wa siku hizi wanaangalia Hela, Umri sio inshu kwao.
Picha mbaya zipi mzee hii Nchi hakuna anaejali Giggy money katoa connection na bado watu wanamwangalia kama mwigizajiNifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Amekuona mjinga. Kwani wewe hujioni!?Sorry mkuu, Sijui ata imekuaje, uwa situmii WhatsApp leo nimeingia mtu wa tatu tu kuchat nae akaniforwadia pic, nakuja cheki na email nakutana na balaa ilo
Umieni tu asee kuna vijana nilisikia wanalalamika mnakula nauli bila kufika😁😁😁😁Inawezekana lakini hiyo niliyompa kwetu sie wanawake ni maumivu +++
Dua la kuku😂😂😂Baada ya mwaka atarudi kwako analia lia kuwa ndoa imimemshinda.
Upo shindikana?Tulia wewe, toa ushauri😂😂
Huyu muongo . Achana nae.Oya! Mkuu kuwa mwanaume, unafikiri yeye hana picha zako mbaya?
Post #68 , 71 na 79Tulia wewe, toa ushauri😂😂
Gonga kvant utasahau kila kituAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Mad kavurugwa, haamini majicho yake😂Huyu nimemuhurumia kidogo sijui kwanini au ushauri wangu hapo chini niufute, naona anajiandikia comment kumi kumi😂😂 huyu hanaga vurugu lakini, ila kuna wenzie nimeshawaona ingekuwa hao ningewaongezea maumivu
Toa mwingine unaomake sense.Post #68 , 71 na 79