Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
tafuta hela babu achana na huo ujinga. she never loved you elewa tu hivyo.
 
You are just a fuckin.. fool bro.

Ulikuwa una mahusiano na mtarajiwa wa watu for four good years. Na huo ugomvi wa August was staged. Ili muachane, aweze kuolewa.

Unakuaje na mahusiano na mchumba wa watu na usitambue? Akili umeelekeza kwenye matoleo mapya ya magari pekee?


Just take it in, my friend. You’re meant for a hard conclusion.

Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
 
Pole sana mwanangu

Mara nyingi kama sio mara zote ukiona mwanamke anamuacha mwanaume kwa style hiyo jua kuwa huyo mwanaume ana madhaifu makubwa mno. Kuna sehemu toka mwanzo ulikosea kwenye mahusiano yenu

Sio kesi hayo yatapita. Kuna sehemu nzuri kama upo tayari niku

Au nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi
Potezea tu mkuu
Let her go
Wanawake ndivyo walivyo
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Pole sana. Ilaaaaa.... ndio nini kumuweka mwenzio miaka 4 yote? Aliona huelekei akaambaa na aliyeserious maisha yaendelee. Ni mwanamke, mayai yake haya subiri. Amepoteza 4 years of her fertile life kukusubiri.

Ewe mwanamke, mwanamme ni miezi 3 mpaka mwaka 1, ikizidi sana miwili awe amekuweka ndani. Kama hamna, kimbia usigeuke nyuma, anakupotezea wakati
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Najua akili haipo stable kwa sasa cha kukushauri kwa haraka haraka kwanza kabisa usifanye maamuzi yoyote ya kujibu izo jumbe zake.
 
Pole sana. Ilaaaaa.... ndio nini kumuweka mwenzio miaka 4 yote? Aliona huelekei akaambaa na aliyeserious maisha yaendelee. Ni mwanamke, mayai yake haya subiri. Amepoteza 4 years of her fertile life kukusubiri.

Ewe mwanamke, mwanamme ni miezi 3 mpaka mwaka 1, ikizidi sana miwili awe amekuweka ndani. Kama hamna, kimbia usigeuke nyuma, anakupotezea wakati
Alikua chuo, kamaliza tu chuo ndio imetokea hivo, ata graduu bado ni November,
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Come on man! Don’t be a simp.
 
Back
Top Bottom