Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Yani leo kuna watu wanahara kuliko aliyeachwa๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani leo kuna watu wanahara kuliko aliyeachwa๐๐
๐๐๐๐ hebu nisimulie alivyokuvuruga.Umenichoka shindikana wangu๐๐๐
Msichana kapunish to the maxmum kulaleki hadi akili zimekusogea, hataki ujinga.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email sheโs now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
๐๐kwa jinsi mlivyo nyie mnalilia uvunguni hamuwezi kulia mbele yangu labda muwe mmepigwa kwenye mfupa km madmaxHata mm nimeachwa dada angu naomba unishauri,... Ushauri wako utakua umemsaidia pia Natafuta ajira maana nae ana tatizo kama langu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahYou are just a fuckin.. fool bro.
Ulikuwa una mahusiano na mtarajiwa wa watu for four good years. Na huo ugomvi wa August was staged. Ili muachane, aweze kuolewa.
Unakuaje na mahusiano na mchumba wa watu na usitambue? Akili umeelekeza kwenye matoleo mapya ya magari pekee?
Just take it in, my friend. Youโre meant for a hard conclusion.
Halafu mie huwa nachukulia ni changamsha genge tu, kuwakera wale wanaotesekaga na watumishi wa umma๐๐๐Mwamba uwa analia utazani anataka kukata moto
Sasa ndio tunaelewa zile hasira na kuchanganyikiwa huwa zinatoka wapi๐๐๐Yani leo kuna watu wanahara kuliko aliyeachwa๐๐
Amekuambia heshima itawalee, heshimu hiloo.Nina picha zake google photos like 10GB na videos, mi nikizipost namchafua mazima
KwendaaaaHakuna watu wenye true love kama sisi kataa ndoa๐๐๐
Amini huyo dada baada ya mwaka jamaa atamuweka akitaka, yaani akitaka atamuweka. Tunawafaham sana nyie watu.Usimdanganye mwenzio.
MhmmmmKwendaaaa
Dogo naona unanicheka๐๐ kuna namna huyo muoaji ataumizwa sana baadae, labda huyu mwamba aamue kuzima mshumaa aendelee na mambo yake.๐ ๐ ๐ ๐
๐ธ๐๐๐Mhmmmm
Kuwekwa ni maamuzi tu, hata walioachana kitambo wanawekana tu.Amini huyo dada baada ya mwaka jamaa atamuweka akitaka, yaani akitaka atamuweka. Tunawafaham sana nyie watu.
Huyo akwende nimesha mreplace na bia ya baridi na nyama choma๐คฃ๐๐๐๐ hebu nisimulie alivyokuvuruga.
Kaone๐ธ๐๐๐
Nakaziaaaaaa!!!!Zingatia neno "heshima itawale" [emoji855][emoji41]