raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
HahahahaaaaaaaAaah Advanced ?
Jamaa alikuwaga boss wetu O level ananunua mihogo ya 2000 na kipindi hicho mhogo ni sh 10 tu. Au sisi wa Hostel alikuwa anatununulia birika zima la kahawa na sinia lote la kashata. 🤣
Usimtishe Kijana 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 sema SUUUUUUUUUUUU!
Licha ya miskills ya mandinga makali mtoto bado kasepa?! Hajui kama utamiliki EV karibuni?!Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Mwamba sana aisee, yupo Victoria pale Tanzanite tower ana ofisi na Acacia pale pale Victoria. Ana taasisi yake kabisa as a CO FOUNDER and CEOHahahahaaaaaaa
Jamaa shule kaamia A level mimi nikiwa O level
Yap yap SV 🔥Mwamba sana aisee, yupo Victoria pale Tanzanite tower ana ofisi na Acacia pale pale Victoria. Ana taasisi yake kabisa as a CO FOUNDER and CEO
Afu mie niko huku, napanda town alhamc.Mlongo nitakucheki kwa ajili ya chimbo la Makanyagio [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakushitua tu. 😃😃😃Afu mie niko huku, napanda town alhamc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu niweke mimi tafadhali 🤣🤣🤣Pole sana mwanangu
Mara nyingi kama sio mara zote ukiona mwanamke anamuacha mwanaume kwa style hiyo jua kuwa huyo mwanaume ana madhaifu makubwa mno. Kuna sehemu toka mwanzo ulikosea kwenye mahusiano yenu
Sio kesi hayo yatapita. Kuna sehemu nzuri kama upo tayari nikuweke
Poaa poaaNakushitua tu. [emoji2][emoji2][emoji2]
Brother kizuri kula na ndugu zako, nitakucheki 😃😃😃Pole sana mwanangu
Mara nyingi kama sio mara zote ukiona mwanamke anamuacha mwanaume kwa style hiyo jua kuwa huyo mwanaume ana madhaifu makubwa mno. Kuna sehemu toka mwanzo ulikosea kwenye mahusiano yenu
Sio kesi hayo yatapita. Kuna sehemu nzuri kama upo tayari nikuweke
Kaka mkubwa mimi sisemi kitu ,acha ajionee mwenyewe 🤣🤣🤣🤣Dogo naona unanicheka😀😀 kuna namna huyo muoaji ataumizwa sana baadae, labda huyu mwamba aamue kuzima mshumaa aendelee na mambo yake.
Coca nilengeshee dem wa kuoa 30yrs, mwenye tako awe hajazaa. Mimi ni under 40Poaa poaa
Ulimla tiGo?Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
😂😂 Akasikilize hii nyimbo alie weee kukikucha atakua fresh.Mbona kama mipasho kidizaini fulani 🤣🤣🤣
Wewe ulimptaje wenzako washindwe kumpata?Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Never on Earth love! Sipendi kumfanyia mtu kitu ambacho mi sipendi kufanyiwa!Kwani sweetheart utakubali wanimegee wewe...
Wee hujafika hata sate.Kwel yani ,unahisi nina mingapi tofauti na huu uji wa mtama😁