Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Nilikua Plan A wa maisha kwa bintX karbu muongo mzima ila Plan B akaja kunipika dakika za jioni kabisa kisa kanizid urefu na uweusi, Hivi sasa tunavyozungumza binti yule ni Ex wife wa wanaume kadhaa walio hai huku mimi nikidunda tu na Watoto wabichi wa 2001-2006.

Wanawake wanacheza Poka sana umri huu, changa/ficha/cheza vizuri karata/kete zako.
 
Nilikua Plan A wa maisha kwa bintX karbu muongo mzima ila Plan B akaja kunipika dakika za jioni kabisa kisa kanizid urefu na uweusi, Hivi sasa tunavyozungumza binti yule ni Ex wife wa wanaume kadhaa walio hai huku mimi nikidunda tu na Watoto wabichi wa 2001-2006.

Wanawake wanacheza Poka sana umri huu, changa/ficha/cheza vizuri karata/kete zako.
Maisha aya acha tu
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Heshima itawake ole wako umsogelee my sweetheart. Ni mali yangu Big #Doggy
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Mkuu unavyopenda magari wewe hisia zote peleka huko utakuja nishukuru siku 1
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Pole mzee, ulikua una-date na dem wa mtu.

Muachane tu ndo hadi aolewe, ulikua mchepuko mzee.

Njoo huku paris tuangalie magari. tunasemaga, WE DO NOT PRAY FOR LOVE, WE JUST PRAY FOR CARS.
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Be strong brother!!
Mimi jana usiku ghafla nimetumiwa ujumbe nijiheshimu so nisimtafute tena. I was devastated i couldn't sleep, my heart was literally racing, i loved that woman !!!

A friend of mine whom i called to ask for her advice had only this to say "block her bro" and so i did
 
Back
Top Bottom