Maisha aya acha tuNilikua Plan A wa maisha kwa bintX karbu muongo mzima ila Plan B akaja kunipika dakika za jioni kabisa kisa kanizid urefu na uweusi, Hivi sasa tunavyozungumza binti yule ni Ex wife wa wanaume kadhaa walio hai huku mimi nikidunda tu na Watoto wabichi wa 2001-2006.
Wanawake wanacheza Poka sana umri huu, changa/ficha/cheza vizuri karata/kete zako.
Heshima itawake ole wako umsogelee my sweetheart. Ni mali yangu Big #DoggyAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Mkuu unavyopenda magari wewe hisia zote peleka huko utakuja nishukuru siku 1Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Dada alimpa moyo mthesalonike Moja akapigwa matukio ya maaana saiv ndo vile tena ana hasira na wanaume!🤣🤣🤣🤣
Yaani siamini na Wewe kama una maneno ya shombo kama haya.
Mpaji Mungu yaani Sister wako sikutegemea
4ways apo awe makini na malori tu yasije mkanyagaNjoo hapa 4ways upige bia mpaka saa tisa usiku ukiamka kesho utakua umeshasahau
Weka vyeti vyake vya kuzaliwa..Umri wa mtu unajua kwa kuangalia timeline ya Jf duh
Nina dogo ana 18yrs yupo humu sasa miaka 10 ijayo mtamuhesabia nae ana 40 😄
Pole mzee, ulikua una-date na dem wa mtu.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Be strong brother!!Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Pole mkuu, Kaza moyo kuteswa na mapenz mwisho mara moja.Maisha aya acha tu
hio ni kweli ukishavuka kiunzi cha mjinga moja hawa wengine ni mswaki tuh wewe unabaki kujiambia yaleyale kisha unasonga mbelePole mkuu, Kaza moyo kuteswa na mapenz mwisho mara moja.
🤣🤣🤣 yale madarasa ya humu yamempitia kandoCome on man! Don’t be a simp.
No wonder umepigwa chini 😒😒 sasa ukizipost ndio kiwe nini?Nina picha zake google photos like 10GB na videos, mi nikizipost namchafua mazima