Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Pole sana mkuu
 
Hawaondoki kizembe lazima akuoneshee taa nyekundu..kazi ni kwako sasa
 
Kati ya kumi, wa2.
Hongera.
 
Vipi wale wanawake wanaolewa na matajiri kabisa lakini wanatoka huko kwa waume zao wanaenda kuolewa tena na mabodaboda?

Afu hapo unakuta mwanaume wewe ushamgharamia sana.
 
Kuna neno moja linasema "waachie wafu wakazike wafu wenzao" jijali tu nafsi yako mkuu penzi ni living thing isiyo onekana na sifa za kiumbe ni Tatu 1.kuzaliwa 2.Kukua 3.KUfa, Tuishi humo mkuu
 
Kuna neno moja linasema "waachie wafu wakazike wafu wenzao" jijali tu nafsi yako mkuu penzi ni living thing isiyo onekana na sifa za kiumbe ni Tatu 1.kuzaliwa 2.Kukua 3.KUfa, Tuish humo mkuu
 
Ngoja kwanza, kwani kiongozi wewe sio KATAA NDOA Mkuu? Mad Max ila maajabu ya wanawake ukimpotezea kabisa ipo siku atakutafuta na kukulaumu humtaguti, atasema ulikuwa humpendi.

wanawake vichwa vyao wanavijua wenyewe tu.
Bro amenikata moto huyu kiumbe. Yaani sahivi ndio nimeanza kula ila dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…