Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Pole mkuu, nshapita hayo naelewa unachopitia. Mwezi wa pili tare 6 napiga machine siku ya ijumapil 2022 siku ya ijumatano tare 9 mwezi wa 2 mwaka huo huo natumiwa msg kua anaolewa, kweli baada ya miezi miwili niliishia kuona picha za harusi mitandaon kwa madem wenzake wakimpost.

Tulikaa kwenye mahusiano miaka 5, na nilikua na lengo la kumuoa kabisa.

Madem wengi ni wasengee hawajali kiasi gani uliwekeza kwao wao wanaangalia furaha zao tu tena za muda mfupi. Baada ya hapo niliamua kujipenda na kujipa kipaumbele mm tu nasio kumpenda kima yeyote Tena.
Miaka 5 mingi mno mlikua na bond ya kutosha, vp hakutaka kurudi baadae?
 
Hilo penzi lako la kwanza?
sikuiti mkuu,alafu ulimkuta wapi?
Huyo aliyemuoa kapanda dau tu.
Mshukuru kwa kupunguza matatizo kwako.
Kesho anarudi huyo akijua karata kapiga dusu.
Na useme mwanamke wetu sio wangu.
Weekend njema ya blue monday.
 
Mbona nyie mnawatenda watoto wa watu na hawawafanyii huu unyama? Acha kabisa huu uuaji unaofanya Deep, yani katendwa mwingine ila maumivu mmepata wengine nimegundua wanaume humu mko dhaifu sana kuliko mnavyojimwambafai, unauliza ana nini?? Ana kidudu kitamu ndo hicho kinamliza jamaa yetu sasa badala ya kumsaidia apate kingine wewe unaleta ushetani wako,
Kidudu kitamu ndio nini? I had a wet dream today
 
Hilo penzi lako la kwanza?
sikuiti mkuu,alafu ulimkuta wapi?
Huyo aliyemuoa kapanda dau tu.
Mshukuru kwa kupunguza matatizo kwako.
Kesho anarudi huyo akijua karata kapiga dusu.
Na useme mwanamke wetu sio wangu.
Weekend njema ya blue monday.
Hakuna ndoa hapo we subiri uone unawajua wanawake vizuri wanaowajua wanawake vizuri muda huu wamelala chini futi 6
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Yaaani 2020 hadi 2024 ndio usema mmepitia mengi vijana wa 2000 mna taabu
 
Hakuna ndoa hapo we subiri uone unawajua wanawake vizuri wanaowajua wanawake vizuri muda huu wamelala chini futi 6
Ndio hiyo mkuu,wengine tuliacha hayo mambo zamani sana,tumesingiziwa kesi za mauaji,ubakaji kwenye ndoa hizi ,huku naye anachepuka.
Mungu hamtupi mja wake tulipona.
Toka hapo ni lets live life,nikiona unazingua kesho bata mwingine huyu thats it.
Mpende mama yako tu,kwasababu alishamalizana na baba yako.
 
***********************************
Lyrics

I remember the day
I called mama on the telephone
I told her mama
I'm getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling
And she asked me a question
That I proudly answered
She said son
Did you take time to know her
I said mama
She is the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say
Mama I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced
Mama said to me
It's not easy to understand it son
*******************
Lucky Dube
 
Back
Top Bottom