Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Mpe hifadhi ya muda mfupiPole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe hifadhi ya muda mfupiPole sana.
NEnda badoo na telegram ndio mahala pake 😄
Mwaka wa nyuma yake 2021 alitoa mimba yangu kwamba hataki kuzalia nyimban, sasa huko alipo anatafuta mtoto kwa tochi, mawifi wanamuadhibu na inaonekana shida ipo kwake. Coz anaweza Kaa hata miezi 6 bila kuona period ikitoka inakaa hata week 2 mpaka 3 kahangaika lakini bado. Kwa minajili hio huwa ananitafuta akiwa anajuta kwa nn alichomoa. Lakini kitu kizuri kwake aliolewa na jamaa mwenye maisha bora kuliko mm.Miaka 5 mingi mno mlikua na bond ya kutosha, vp hakutaka kurudi baadae?
Kwani nimefanya nini bro?😁Unacheza na usalama wa nchi bro
Shukuru Mungu mzee, muombe Mungu akupe mwenza sahihi uache kulialia maana mwaka 2020 ni miaka 4 tu wala sio ya kuhuzunikaAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Akae akijua kuwa mwanaume yeyote jobless huonewa huruma na mama yake tu so kijana atafute hela coz msichana aliona hakuna future.Report it immediatelly
Hao hao naweza kukodi baadae nikanunua jumla kabs wa mchongo hao 😊NEnda badoo na telegram ndio mahala pake 😄
Mimi nadeal na kukodisha wapenzi wa mchongo wa kuwashtua watesi
hayo yote aniachie mimi kikubwa pochi iwe nene kwanza 😄
Mimi kitu kinanipa strength ni nikifikilia maisha ya watu wanaonizunguka. Staff mmoja ninapofanya kazi alifiwa na mtoto na ame move on haraka, jamaa mwingine aliunguliwa na moto nyumba nzima kila kitu kiliteketea mule and he healed baada ya mwezi. Watu wanafiwa na wazazi na wana move on je mimi ?We unashangaa hilo. Mimi kuna huyo mmoja nilidumu for 2 years na tulikua na mipango ya kufunga ndoa na mpaka huku JF nilikuja kuomba ABC za ukoo wao kabla sijaingia kwenye ndoa.
Baadae niliachana nae na akaolewa ndani ya mwaka mmoja na katika post yake ya ndoa aliandika after 10 years of relationship hatimae tumeoana. Can you imagine?
ganzi ndio msingi kwa hawa viumbeHiyo ni Terminal stage ya Mapenzi, yani moyo ushakufa.🤣
Mkuu maisha yanachangamoto nyingi sana, nadhani kwa sehem kubwa changamoto ndo huchelewesha mipango yetu mingi.Yaani uchumba miaka mi5? Dogo kazingua msimfariji
Shukrani mkuu 🙏🏽Akili kubwa
Depression toa ushauri😂Depression punguza maswali.
Huu wimbo niliusikiliza Mara ishirini na moja baada ya kutemwa na mke wangu wa zamani ,ukanitoa machozi nilienda kulilia chooni ,hapo rafiki zangu wapo sebleni kunifariji .***********************************
Lyrics
I remember the day
I called mama on the telephone
I told her mama
I'm getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling
And she asked me a question
That I proudly answered
She said son
Did you take time to know her
I said mama
She is the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say
Mama I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced
Mama said to me
It's not easy to understand it son
*******************
Lucky Dube