Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Miaka 5 mingi mno mlikua na bond ya kutosha, vp hakutaka kurudi baadae?
Mwaka wa nyuma yake 2021 alitoa mimba yangu kwamba hataki kuzalia nyimban, sasa huko alipo anatafuta mtoto kwa tochi, mawifi wanamuadhibu na inaonekana shida ipo kwake. Coz anaweza Kaa hata miezi 6 bila kuona period ikitoka inakaa hata week 2 mpaka 3 kahangaika lakini bado. Kwa minajili hio huwa ananitafuta akiwa anajuta kwa nn alichomoa. Lakini kitu kizuri kwake aliolewa na jamaa mwenye maisha bora kuliko mm.

Kwahio hua namuambia ainjoy maisha aliyoyataka, Mungu anasababu zake zakutua watu mizigo.
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Shukuru Mungu mzee, muombe Mungu akupe mwenza sahihi uache kulialia maana mwaka 2020 ni miaka 4 tu wala sio ya kuhuzunika
 
NEnda badoo na telegram ndio mahala pake 😄
Mimi nadeal na kukodisha wapenzi wa mchongo wa kuwashtua watesi
Hao hao naweza kukodi baadae nikanunua jumla kabs wa mchongo hao 😊
 
hayo yote aniachie mimi kikubwa pochi iwe nene kwanza 😄
IMG-20241015-WA0000.jpg

raraa reree umemsoma rubii ???
Pochi yako iwe hivii 🤣🤣🤣
 
We unashangaa hilo. Mimi kuna huyo mmoja nilidumu for 2 years na tulikua na mipango ya kufunga ndoa na mpaka huku JF nilikuja kuomba ABC za ukoo wao kabla sijaingia kwenye ndoa.
Baadae niliachana nae na akaolewa ndani ya mwaka mmoja na katika post yake ya ndoa aliandika after 10 years of relationship hatimae tumeoana. Can you imagine?
Mimi kitu kinanipa strength ni nikifikilia maisha ya watu wanaonizunguka. Staff mmoja ninapofanya kazi alifiwa na mtoto na ame move on haraka, jamaa mwingine aliunguliwa na moto nyumba nzima kila kitu kiliteketea mule and he healed baada ya mwezi. Watu wanafiwa na wazazi na wana move on je mimi ?

Haya maisha ni kuwa ngangari tu
 
kaa kwa kutulia... mademu zetu washaolewa na wapo kwenye ndoa zao....mabwana zao wakiwakorofisha wanatutafuta kulipa kisasi....usipokuwa makini huwezi kuoa tena...
 
Huu
***********************************
Lyrics

I remember the day
I called mama on the telephone
I told her mama
I'm getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling
And she asked me a question
That I proudly answered
She said son
Did you take time to know her
I said mama
She is the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say
Mama I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced
Mama said to me
It's not easy to understand it son
*******************
Lucky Dube
Huu wimbo niliusikiliza Mara ishirini na moja baada ya kutemwa na mke wangu wa zamani ,ukanitoa machozi nilienda kulilia chooni ,hapo rafiki zangu wapo sebleni kunifariji .

Nililia Sana kwa kujibana mdomo nilipomaliza nikanawa nikatoka nikawaambia Sasa nipo sawa twende tukaenjoy ,ni huko bar nikikutana na Halima jioni ile aliyekuja kunipa dili lililoniweka jela mwaka mzima .

Itoshe kusema wanawake ni mashetani Sana
 
Back
Top Bottom