Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mkuu wenye maadili bado wapo wengi, lakini wakishaanza kuwa huru maisha ya chuo ndio huwabadilisha na kuwa wajinga wajinga. Kuna binti fulani ni mtoto wa Judge nilikuwa natoka nae sasa nikaja zinguana naye mpaka mawaailiano yakakata na namba yake akabadili nimekaa zangu ile namba aliokua anaitumia nikaamua ku i renew kwa sababu ilikuwa ni yangu nikaiweka kwenye simu siku moja kanipigia tukaongea fresh na hasira zake zote zilikuwa zimeisha, nikawa namchombeza na akawa amelainika kweli. Kwa kifupi alikuwa ni mtoto wa Kishua japo alikuwa na jeuri za kitoto lakini kipindi hiki kalainika sana sijui kwa sababu umri umeshaanza kusogea sana ?
Hataki mahusiano ya kimapenzi ila anataka urafiki tu. Nikamwambia urafiki wa nini tena ? Una Mtoto au una mume ? Vyote hana. Na alichonishangaza kuna waist chain nilimnunulia bado anayo.
Kwa kifupi Mabinti kwenye 20's huwa wanakuwaga hawajitambui na hawajielewi kabisa 🤣🤣🤣
Lakini wakifika 30 ndio akili huwa zinaanza kuwakaa sawa aisee.
Miaka 30 kashakuwa used alafu ndio uje uliweke ndani( ndoa) thubutu.
 
Kweli tunatofautiana sana. HILI NALO MKALITAZAME.

Yaani mimi na Komwe langu hili eti nimekaa kabisa namlilia mtoto wa mtu, eti hata kula nashindwa jamani nalia hadi KWIKWI, khaaaa WE HUOGOPII!

Kwa jinsi Mungu alivyonibariki sitarajii kutoa chozi kwa ajili ya kichogo yoyote.

Anayetaka kukaa na mimi akae, asiyetaka akwende zake. Tena aondoke haraka kabla hajachelewa. HATA AWE NANI, SIANGALII SURA, WE HUOGOPI?

Cc: Lamomy Kapeace mshamba_hachekwi Extrovert
Ivi wewe ni Dume au Jike?
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Mademu wazuri wapo kibaoo Mzee...tena sio hao wa miaka 30 washakuwa used
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Pole sana mkuu mimi yalinikuta ila tu nilikua sipensi kipindi hiko maana moyo ulishashakataga kama huko nyuma nilimpenda manzi mmoja hivi aliwkwa status kwa mshikaji wangu basi nikaomba namba jamaa akanambia ngoja niongee na muhusika aloo muhusika hakukataa mi sikuchelewesha nikatongoza nika kataliwa ila sikukata tamaa nikawa natongoza kila siku na kila napoongea nae ilichukua miezi miwili nikaja kukubaliwa akanambia yeye bikra sikuamini nikawa namuambia unazingua wewe imesnda siku nikamvuta geto kuna ishu ya computer nimsaidie akaja nimsove ishu yake nikataka kula tunda nimeregeza navoweza nile tunda lakini akakaza akasema anaogopa yeye ni bira nikamuambie nataka kuhakikisha kama ni bikra akakubali kwa sharti nisimuingilie ebwana eenh nikapekenyua kipochi manyoya mtoto bikra kweli kitu kimewamba nikasimamia ahadi akapika tukala akasepa.

akawa ameniamini likawa kosa kwa mara ya pili nikamuita mwenyewe akaja kuja kapika fresh tumekula tumemaliza kula nikaenda oga nikarudi nikamaliza ufundi fote mwali akalegea ndimwii nikala tunda sild bila huruma kwani nilihisi nauaa 😂😂

nakumbuka aliondoka hata kutembea mtihani nikachukua bajaji mpka kwao nikamuacha getini nikasema baada ya wiki akawa kanogewa akawa anakuja kula mshedede ebwana wee penzi likanoga nikasema huyu demu ni vute ndani ghafla bin vuuu maama nilipanga hadi kupeleka barua ila ghafla lafiki wangu wakatibu akapata ajali mbaya ikampelekea kukatwa mguu kutokana na ukaribu wa familia yake maada ya kukaa muhimbili miezi kama 6 hivi wakaniomba niende nikakae nae dodoma ili akaendelee kupata matibabu na moshi kwenye miguu ya bandia huko ebhana kweli nikamuaga mchumba kua naondoka nikirudi nitafanya process kweli nilienda basda ya miezi miwili kupita nikawa simuelewi simu zangu apokei mi nikakacha nikajua jau huyu maana kipindi hiko akili za wanawake zishakufa kwakupenda full masna nilikua namatulizo kibao la haula siku nakutana na post ya yule yule mshikaji nilipo chukua namba akimpingeza bibie kupata ndoa 😂😂 nikasema ama kweli wale wanaosema demu ukitoa bikra akusahau milele ni wehu nikampigia mshikaji nikamuuliza akasema mbona tumechangishwa mpka michango ukweli mimi jilimpigia yule demu nikamuuliza umeolewa alinikatalia kata kata nikamuambia usinidanganye najua vyote kama umeolewa pia nikamuambia usijali ishi kwa uhuru na mjali mumeo kwaheli 😂😂😂 eti akajifanya kulia weee nikamuambia jali mumeo na usinitafute kwaio mzee mademu wapo tele na usimfikilie kabisa mimi huyo demu ninamapicha yake ya uchi kabisa kibaoo ila niliyafuta tuu hivo usije sema eti sijui umpost au ufanyaje hujui mungu kakuepushia nini!??
 
Hahahahahaaa umenikumbusha mbali sana, matoto ya siku hizi yamekomaa kimapenzi mbaya kabisa si wa kike Wala wa kiume.... Miaka ya nyuma enzi za Jk nimesoma zangu education baade nikapangwa kazi mkoa x, Sasa Mimi kiasili nina km Ile u-gangstar flan hip-hop hv so nikawa na ushakaji na madogo but wananiogopa flan kutokana na ununda.... Hata wale watoto wa kike nilikua na ushikaji nao but kinamna flani but wananigwaya... Kipindi hicho mtandao maarufu ni Facebook zaidi ingawa nilikua naingia mara Moja Moja, Kuna siku Moja nimeingia Facebook Kuna mtu kani-inbox jina nickname la ajabu ajabu halafu hakuna hata picha yoyote,kichwan kwangu nikajua ni msela flan kumbe ni mwanafunz wangu wa kike... Akaandika

Yeye: vp lakini mzima ww!
Mimi: mi niko poa! Vp ww!
Yeye: mi mzima, Sasa vp mbona unanikalia kimya?
Mimi: mi nipo sana msela angu, mishe vp lakin
Yeye: mbona unaniita msela wakati mi mdada
Mimi: oh sorry, sikujua kumbe we ni mdada. Kwan we Nan na uko wapi?
HAKUJIBU MESEJI YANGU, BAADAE NIKA-DELETE CONVERSATION... NIMEKUJA KUINGIA FACEBOOK BAADA YA MIEZI MITATU NIMEKUTA MESEJI YAKE INBOX LAKINI SIMKUMBUKI KM NI YEYE COZ NILISHADELETE CONVERSATION... SO MESEJI ZIKAWA ZINACHELEWA KUJIBIWA SABABU NILIKUA SIINGII FACEBOOK MARA KWA MARA. AKAANDIKA

Yeye: sasa vp mbona unaendelea kukaa kimya jamani!!
Mimi: sijakaa kimya kamanda angu Kwan vp( kipndi hicho neno kamanda limeshika hatamu enzi za chadema)
Yeye: sasa unaniita mi kamanda wakat mi ni msichana... Niambie bas jaman
Mimi: nikuambie kitu gan mi sikujui
Yeye: Unanijua sana wewe unakaaga kimya.....


Hiyo account nilichat nae mwaka mzima sijui ni nani maana hakuna picha hata Moja.... Baadae nilikuja kumjua baada ya kumaliza shule na akaanza kuweka picha kwenye hiyo account yake..... Hawa watoto wa shule Wana mambo sana walimu Wana kaz
Ungechangamka ungemdinya Teacher ulifeli wapi, wanakuaga wanyama kinyama umri huo ni unasusiwa hovyo hovyo.
 
Hii maisha sio fair.
Aliniumiza sanaa.
Yaaani ametoa mahari juu kwa juu...kisa alikuwa karibu na familia ya binti..

Kibaya zaidi baba binti alikuwa mgonjwa anamwambia mwanangu olewa kabla sijafa.

Sasa siku ya sendoff nikatambulishwa kwa meja kama.... baada ya sherehe🤣

Meja sasa akamwambia binti kuwa mbona G mshikaji wa maana sana.....kuanzia hapo Meja na mimi, mimi na meja
 
Huu
Huu wimbo niliusikiliza Mara ishirini na moja baada ya kutemwa na mke wangu wa zamani ,ukanitoa machozi nilienda kulilia chooni ,hapo rafiki zangu wapo sebleni kunifariji .

Nililia Sana kwa kujibana mdomo nilipomaliza nikanawa nikatoka nikawaambia Sasa nipo sawa twende tukaenjoy ,ni huko bar nikikutana na Halima jioni ile aliyekuja kunipa dili lililoniweka jela mwaka mzima .

Itoshe kusema wanawake ni mashetani Sana
🤣🤣🤣Huu uzi umejaa laana zote, mtuhurumie jamani.

Cc Kapeace
 
Mambo mawili yanakusumbua

Kukumbuka yale mliyokuwa mnafanya, sasa atamfanyia mwingine

Wewe hukuwa na ujasiri wa kumwacha, kumbe yeye alikuwa nao..

Yote mawili ni majuto ni mjukuu..

Kubali, usipambane, huwezi kubadili lolote kati ya hayo...

Tafuta kitu cha maana cha kufanya au hobby , mfano kukimbia hiyo ni nzuri kuondoa fikra za kukumbuka hiyo dhahama au kucheza mpira .. Utasahau na ndio salama yake... Maisha ndivyo yalivyo,
 
Back
Top Bottom