Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Usiwekeze kwa mwanamke, wekeza kwenye future yako.
 
He'll never find the same person twice; not even in the same person. He better move on. Lightning never strikes the same place twice.
 
Pole Sana mkuu hakuwa fungu lako
Fungu sahihi ni lipi? Iv wale walio oana na baada ya miaka 10- 20 wakaachana
Je na wenyewe hawakuwa fungu sahihi kwa kila mmoja?
Kwahiyo MUNGU huwa anabaliki ndoa watu watakao kuja kuachana baadae ?

Huu msemo wenu huwa siuelewi kabsaa.
 
Dunia sinia Kaka suspect anyone trust no body
 
Ndo mkome kutishia tishia kujamb*
 
Ndio maana katika maisha yangu, nimekuwa mtu wa maesabu sana, hata mke namzalisha mitoto ya kiumee tuuuu, kutokana na mishe zangu za kusoma misomo ya afya. Wanawake watu wapuuuzi sana, sio wa kuwategemea katika vitu vya kimaendeleo. Wao wamekuja kama nyoka katika bustani ya hedeni.
 
He'll never find the same person twice; not even in the same person. He better move on. Lightning never strikes the same place twice.
Abundance mentality is key

If one chick doesn't want you, you can easily move on

Being persistent when a chick doesn't want you just makes you look like a fool

There are many better women than her out there so never limit your search
 

Wanawake wapuuzi lkn umeoa tena mwanamke huyo huyo anaetoka kwenye kundi la wapuuzi [emoji2][emoji2] dunia haijawahi isha maajabu.
 
Hata Wema bado ni below 30.. so sishangai..
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…