Huna akiliAsa kwanini unataka nikuamini wewe!??
Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Haya.Huna akili
Ugomvi wa mwezi wa nane haukuja kwa bahati mbaya. Haukusoma majira tu na kama ulishindwa hilo haukumuelewa mwenzako, hatandani angekutesa. Kama una mwanamke wa ndoto zako usikorofishane nae kama ni wa kupita ukiingia kwenye mahusiano nae hakikisha unajua njia na wakati utakaoachana nae. Usimnunie unayempenda moyo ni kichaka.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Kwenda huko..... watu wajinga wajinga kama nyie mnaojikutaga mnacomment kwa kujiamini kuhusu vitu msivyovijua na watu msiowajua ni aina ya ugonjwa wa akiliHaya.
Ulale sasa, kesho shule.
Inawezekana japo ngumu kumeza hapo kwa wema sepede.Hata Wema bado ni below 30.. so sishangai..
😂😂😂
Simulizi yangu inaanzia kwenye raha za penzi jipya.
Unamsakama acha mara moya.Sijamfanya chochote mbona.
Sawa.Kwenda huko..... watu wajinga wajinga kama nyie mnaojikutaga mnacomment kwa kujiamini kuhusu vitu msivyovijua na watu msiowajua ni aina ya ugonjwa wa akili
Kwa kweli 📌 🤣Ndio maana katika maisha yangu, nimekuwa mtu wa maesabu sana, hata mke namzalisha mitoto ya kiumee tuuuu, kutokana na mishe zangu za kusoma misomo ya afya. Wanawake watu wapuuuzi sana, sio wa kuwategemea katika vitu vya kimaendeleo. Wao wamekuja kama nyoka katika bustani ya hedeni.
Acha uhuni depresssion, hebu simulia vizuri😀Simulizi yangu inaanzia kwenye raha za penzi jipya.
Mwisho niliumizwa nikaumia.
Na wewe umeachwa?Unamsakama acha mara moya.
Labda na basiNa wewe umeachwa?
Ili mnicheke 😅Acha uhuni depresssion, hebu simulia vizuri😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ili mnicheke 😅
Tell him bro, loud ili imuingie kwa akiliYou are just a fuckin.. fool bro.
Ulikuwa una mahusiano na mtarajiwa wa watu for four good years. Na huo ugomvi wa August was staged. Ili muachane, aweze kuolewa.
Unakuaje na mahusiano na mchumba wa watu na usitambue? Akili umeelekeza kwenye matoleo mapya ya magari pekee?
Just take it in, my friend. You’re meant for a hard conclusion.
To be honestly when it comes to furaha wanawake wako so aggresive kujijali wao. So udhingae baada ya kupata alichotaka she wente awayPole mkuu, nshapita hayo naelewa unachopitia. Mwezi wa pili tare 6 napiga machine siku ya ijumapil 2022 siku ya ijumatano tare 9 mwezi wa 2 mwaka huo huo natumiwa msg kua anaolewa, kweli baada ya miezi miwili niliishia kuona picha za harusi mitandaon kwa madem wenzake wakimpost.
Tulikaa kwenye mahusiano miaka 5, na nilikua na lengo la kumuoa kabisa.
Madem wengi ni wasengee hawajali kiasi gani uliwekeza kwao wao wanaangalia furaha zao tu tena za muda mfupi. Baada ya hapo niliamua kujipenda na kujipa kipaumbele mm tu nasio kumpenda kima yeyote Tena.
Mkuu, mbona humu ilishajadiliwa sana? Never trust a student... Hakuna binti wa chuo anayejitambua.Alikua chuo, kamaliza tu chuo ndio imetokea hivo, ata graduu bado ni November,
Naijua hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nishakucheka nimemaliza, nakuahidi sitokucheka tena🤣