Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Huna akili
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Ugomvi wa mwezi wa nane haukuja kwa bahati mbaya. Haukusoma majira tu na kama ulishindwa hilo haukumuelewa mwenzako, hatandani angekutesa. Kama una mwanamke wa ndoto zako usikorofishane nae kama ni wa kupita ukiingia kwenye mahusiano nae hakikisha unajua njia na wakati utakaoachana nae. Usimnunie unayempenda moyo ni kichaka.
 
Potezea tu.... Time will heal.

Ila kama huyo mwanamke hana hulka ya umapepe itakua tu kuna namna ulianza kumzingua kwahiyo akaanza kuachilia mdogo mdogo.

Wanawake wengi uhusiano ukifika 2+ years huwa tunakua tumefungua moyo tayari so mpaka nikuache it's a struggle na inabidi uwe umezingua pakubwa au huna uelekeo wa long term relationship kabisa

So move on, men wanaoa hata 40 huko, don't be bitter ishi tu kawaida, aliye wako atakukuta along the way.
 
Ndio maana katika maisha yangu, nimekuwa mtu wa maesabu sana, hata mke namzalisha mitoto ya kiumee tuuuu, kutokana na mishe zangu za kusoma misomo ya afya. Wanawake watu wapuuuzi sana, sio wa kuwategemea katika vitu vya kimaendeleo. Wao wamekuja kama nyoka katika bustani ya hedeni.
Kwa kweli 📌 🤣
 
You are just a fuckin.. fool bro.

Ulikuwa una mahusiano na mtarajiwa wa watu for four good years. Na huo ugomvi wa August was staged. Ili muachane, aweze kuolewa.

Unakuaje na mahusiano na mchumba wa watu na usitambue? Akili umeelekeza kwenye matoleo mapya ya magari pekee?


Just take it in, my friend. You’re meant for a hard conclusion.
Tell him bro, loud ili imuingie kwa akili
 
Pole mkuu, nshapita hayo naelewa unachopitia. Mwezi wa pili tare 6 napiga machine siku ya ijumapil 2022 siku ya ijumatano tare 9 mwezi wa 2 mwaka huo huo natumiwa msg kua anaolewa, kweli baada ya miezi miwili niliishia kuona picha za harusi mitandaon kwa madem wenzake wakimpost.

Tulikaa kwenye mahusiano miaka 5, na nilikua na lengo la kumuoa kabisa.

Madem wengi ni wasengee hawajali kiasi gani uliwekeza kwao wao wanaangalia furaha zao tu tena za muda mfupi. Baada ya hapo niliamua kujipenda na kujipa kipaumbele mm tu nasio kumpenda kima yeyote Tena.
To be honestly when it comes to furaha wanawake wako so aggresive kujijali wao. So udhingae baada ya kupata alichotaka she wente away
But i hope some umelipata, litakusaidia sana one the future
 
Pole sana mkuu. Amini kila kinachotokea kina sababu njema tu nyuma yake.
Jipe muda upate uponyaji.
 
Back
Top Bottom