Mpesa MasterCard Tanzania: Kama unapenda uhakika wa malipo yako mtandaoni USIITUMIE

Nimerudi equity aisee jamaa wapo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]yaani nimekata kadi hapo hapo na kufanya miamala hapo hapo najuta week zangu 3 nilizopotewa na mpesa MasterCard nimekoma na sitorudia utopolo ule tena....
 
Hata Nmb MasterCard yao ipo vizuri
 
Na nimuhakikishie tu hio pesa haigandi hewani kusema ni pending, ishachomolewa na kwa vile hakutumia paypal inakua vigumu kabisa kurudishiwa pesa

Ok,

Lets assume pesa ishachomolewa kama unavyosema.

Meaning 3rd part/merchant ameshaipata ila anafanya utapeli kwa mwana.

Then, kwa misingi hiyo hiyo....utumiaji wa PayPal ungesaidiaje kurudisha pesa ambayo umesema tayari 'imechomolewa'?
 
Ok,

Lets assume pesa ishachomolewa kama unavyosema.

Meaning 3rd part/merchant ameshaipata ila anafanya utapeli kwa mwana.

Then, kwa misingi hiyo hiyo....utumiaji wa PayPal ungesaidiaje kurudisha pesa ambayo umesema tayari 'imechomolewa'?
Paypal wanaruhus miamala ambayo imehakikishiw ipo na sio ya utapeli, Endapo paypal ingetumika hapa basi paypal wangekuwa hawana budi kumrudishia pesa alielipa na wao kumchunguza huyo tapeli na kumchukulia hatua za kisheria, Paypal ni kama bima
 
Na wamefanya makusudi kabisa,
 
Paypal wanaruhus miamala ambayo imehakikishiw ipo na sio ya utapeli, Endapo paypal ingetumika hapa basi paypal wangekuwa hawana budi kumrudishia pesa alielipa na wao kumchunguza huyo tapeli na kumchukulia hatua za kisheria, Paypal ni kama bima
Hapana mkuu

Nakushauri ukasome tena PayPal Disclaimer Policy.

PayPal ni digital payment platform, only that.

Haihusiki na kuchunguza kama huyu mtumiaji ni scammer ama ni muungwana.

Jukum lao ni moja tu, kuhakikisha mteja wao amefuata requirements zote zinazotakiwa kufungua hiyo account yake.

Jukumu la kujua mtu ni tapeli or not lipo kwa mlipaji, yeye ndo anatakiwa kujiridhisha.

Pia, PayPal hai act kama bima, no...inachofanya ni kukuongezea tu security kwa bank account yako.

Kwamba badala ya account yako ya bank/card kuwa exposed online kwa website ambazo huziamini sana...Paypal inaingia kati, yenyewe ndo inakua exposed.

PayPal ni mfumo tu wa malipo kama ilivyo Skrill, Neteller ama Google Pay
 
Mimi nafanya miamala kwa paypal tangu mwaka 2013 kabla hata ya hizi master card za voda kufika, nina uzoefu wa miaka 7 mpaka sasa na ninajua nachoongea.

Nimekuwa refunded zaidi ya mara kumi kwa bidhaa ama huduma nilizoagiza mitandaoni na kulipa kwa paypal ambazo hazikunifikia.

Tupo kwenye hii sekta muda mrefu sana, Paypal ni kama bima tu inayokuhakikishia endapo ukiitumia kufanya malipo na hutapata ulicholipia ama kipo chini ya kiwango basi utarudishiwa pesa yako kama ambavyo mimi binafsi nilivyorudishiwa pesa karibu maea kumi.

Nisingetumia paypal ningekua sina pa kilalamika na pesa ingeenda.
 
Sio Vodacom tu, tatizo ni mitandao yote ya Tanzania, banks zote za Tanzania, mambo mengi wanafanya kienyeji kwa kalamu na karatasi, alafu wafanyakazi wengi vilaza, na wengi wavivu, yaani wao mishahara inaingia kila mwisho wa mwezi kwa hiyo hawajali chochote wafanye kazi wasifanye mshahara uko palepale.
Ukweli customer care Tanzania ni tatizo kubwa mno, kampuni nyingi washenzi sana watu wameridhika na maisha. Vodacom ukiwa na tatizo unaweza watafuta mwezi mzima wanakuzungusha, email ukituma hua hawazisomi, mfanyakazi anaingia ofisini hadi anatoka hajafungua email ya kazi anafika anagusa document mbili tatu, anapiga soga na wenzake siku imeisha. Stupid assholes. Tanzania haiwezi kuendelea ina mijitu mivivu sana kwenye kila sector.

Alafu kama software developer experienced miaka zaidi ya 10 ngoja nikwambie kitu, software hizi za mitandao kama vodacom siwezi tumia mwenyewe kwa kua nishaziona najua walivyotengeneza nyiingi ni ovyo mno, yaani zinafanya kazi basi tu tatizo lolote mnaweza poteza hela zenu zote, hua nawaambia watu msitunze hela kwenye mitandao ya simu, siku ikishut down hawawezi hata kurecover wakajua nani alikua na kiasi flani, yaani data zote zinapotea mtabaki mkose wa kulaumu maana hata serikali itakua haina la kufanya. Use at your own risk kwa kweli
 
Kuna kitu hujaelewa

Kwanza, sikatai kwamba wewe ni mzoefu.

Lakini pia sikatai kwamba umewahi kuwa refunded.

The issue is;

Ukinilipa pesa sasa hivi mimi through PayPal and sina refund policy yoyote na hiyo pesa nikaitoa....PayPal hawaendi kutoa pesa yao mfukoni kuku refund wewe.

By the way wala hawatakiwi kukulipa. Why?.....kwa sababu hawajafanya kosa lolote.

Wewe ndo una jukum la kujiaminisha ubora wa product unayonunua & ubora wa seller.

Ndo maana kuna reviews kuhusu products na sellers mbalimbali.

Unacho confuse wewe ni refund policy ya merchant (anayekuuzia bidhaa).

Kama seller wako amesema ataku refund full, ama partial in case of any error, yeye ndo ata authorize hiyo refund.

Na kama mlifanya transactions zenu kwa PayPal refund itatumia same way. Hii ni kutokana na Paypal business account kuwa option inayoitwa 'Refund'

Anyways, tufanye hivi...simple;

Hivi hicho unachosema wewe kingekiwepo huoni watu wangefanya deals watumiane pesa then baadae mmoja aka play victim kwa PayPal na kusema ametapeliwa ili apewe hiyo refund unayosema?
 
Mbona hii michezo inatajirisha watu hadi leo, Watu wanakula refund mpaka basi, Kama ulikuwa hujui basi ndo nakujuza hivi vitu vipo, karibu ulimwengi wa paypal.

Maama usipopewa ulicholipia wewe na uliemlipa mnapewa muda fulani mjue mtatuaje tatizo, zikiisha hizo siku na uliemlipa anakuzungusha, kakiri kos aau kapiga kimya unalipwa.

Hakunaga janj janja huku paypal
 
Mimi mwenyewe wamenipiga elfu56 zangu tarehe 26/7/2020 kunakitu nilitaka kununu Alibaba nilipojaribu kuweka pesa kwenye account ya m pesa master card nilirudishiwa ujumbe kuwa failed! nilipo angalia salio kwenye m pesa yangu pesa ikawa tayari imekatwa nilipo angalia salio upande wa MasterCard ikawa inasoma 00,niliwapigia simu huduma kwa wateja kilasiku wananizungusha wameshindwa kabisa kurudisha pesa yangu mwisho nimekata tamaa nimeamua kuwachia hiyo pesa jamaa ni wezi sana,nainaonyesha wanatufanyia makusudi kutuibia pesa zetu wateja.
 
Mbona hii michezo inatajirisha watu hadi leo, Watu wanakula refund mpaka basi.

Hakunaga janj janja huku paypal

Duh!

Unaji contradict;

Umesema hakuna janja janja PayPal...yet ukadai michezo ya janja janja through PayPal refund imetajirisha watu.

Hivi inakuaje unaamini watu wanaweza endesha biashara ludicrously namna hiyo?

Kwamba negligence yako ya kutokufanya research vizuri kuhusu service & service provider iicost smart company kama PayPal?

Na hiyo bima unayosema ya PayPal inafanyaje kazi while huilipii? Kwamba they're doing you a favor?

Mbali na fees zao zinazoanzia 2% hadi 4% ya transaction kuna mahali wamewahi kuku charge bima?

Nirudie, tafuta tena PayPal disclaimer policy uisome vizuri
 
nachomaanisha ni kwamba paypal ni salama kwa mlipaji ila kwa upande wao wana risk ya kupoteza pesa kwasababu kuna watu huwa wanapokea vitu ila wanadanganya havijafika na wanalipwa hii inakuwa hasara kwa paypal.

Ila kwa mteja mqenye nia njema hawezi kutumia usalama wa paypal kwa kujinufaisha yeye kwa kiwadanganya paypal mizigo aliyolipia haijafika au ni feki.

Binafsi kuna kipindi mzigo wangu haukufika zaidi ya miezi miwili nika rudishiwa pesa ila mizigo ilifika baada ya kupokea hela, hii ni loophole kwa matapeli na watu wanafanya hii michezo.

Nimesema paypal ni kama bima sijasema ni bima mkuu uwe unasoma na kuelewa, Yes ni kama bima maana ukilipia kwa kadi directly upo tayari kwenye risk ya kupoteza pesa ndio maana mabenki mengi yakikupa kadi wanakupa tahadhari usi tumie kadi direct maana hizo number na kadi yako zikivuja kwa hackers basi kama kuna hela imebaki kwenue kadi wao wataitumia bila ridhaa yako na utaingia hasara

Haya yasingemkuta mwenzetu kama angetumia paypal na inawezekana kabisa muuzaji wa hio softwarw hakuwa na vigezo vya kutosha kukubaliwa na paypal, yawezekana ni mnaijeria
 

hebu acha upumbavu ww unadhan alichoandika hapa niuongo watu tumepoteza sana hela kwa mtindo huo lakini tumekaa kmya tuu bora yeye amekuja kuwaambia ukweli hapa
 
NAWASHUKURU AIRTEL KWA REFUND YANGU
 

Sasa unamchimba mkwara mtu aliyeibiwa na wakati amewasiliana na wahusika na mekubali kuwa atarudishiwa, wewe ni nani mpaka ukatae? achaVoda wenyewe wajibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…