YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
1. Jambo la kwanza usifanye fujo kituo cha kupigia kura au kupiga makelele,kuzozana nk ile ni sehemu ya kupanga msitari na kupiga kura yako kwa amani na utulivu
2. Kazi ya kujumlisha matokeo ya uchaguzi na kuyatangaza ni kazi ya tume ya uchaguzi tu tena kwenye vituo husika official vya tume.Usije ukakaa guest house au popote na hawara yako mkaanzisha kituo chenu cha kujumlisha matokeo na kuyatangaza kuwa hayo ndio matokeo .Ujumlishaji na utangazaji ni kazi ya tume tu kuanzia mwanzo wa kuzijumlisha hadi mwisho wa kutangaza.Kwenye ofisi zao official ikiwemo kituo cha kupigia kura nk
Mtu yeyote awe mgombea au mpiga kura ,taasisi yeyote au au chama chochote cha siasa au chombo cha habari hakiruhusiwi kutangaza matokeo ambayo tume haijatangaza na kutoa ruksa yatangazwe.Usiende huko na huko ukitangaza matokeo ambayo Tume haijatangaza.
3. Ukipiga kura ondoka nenda zako nyumbani au kwenye biashara zako .Siku hiyo mikusanyiko ya aina yeyote hairuhusiwi popote kwa umbali wowote uwe mfupi au mrefu kiasi gani hata iwe kilomita elfu moja toka kituo cha kupigia kura hiyo ni kwa mujibu wa uamuzi wa mahakamu kuu uliotolewa mwaka 2015.
Nakala ya katazo la mahakama kuu hili hapa
2. Kazi ya kujumlisha matokeo ya uchaguzi na kuyatangaza ni kazi ya tume ya uchaguzi tu tena kwenye vituo husika official vya tume.Usije ukakaa guest house au popote na hawara yako mkaanzisha kituo chenu cha kujumlisha matokeo na kuyatangaza kuwa hayo ndio matokeo .Ujumlishaji na utangazaji ni kazi ya tume tu kuanzia mwanzo wa kuzijumlisha hadi mwisho wa kutangaza.Kwenye ofisi zao official ikiwemo kituo cha kupigia kura nk
Mtu yeyote awe mgombea au mpiga kura ,taasisi yeyote au au chama chochote cha siasa au chombo cha habari hakiruhusiwi kutangaza matokeo ambayo tume haijatangaza na kutoa ruksa yatangazwe.Usiende huko na huko ukitangaza matokeo ambayo Tume haijatangaza.
3. Ukipiga kura ondoka nenda zako nyumbani au kwenye biashara zako .Siku hiyo mikusanyiko ya aina yeyote hairuhusiwi popote kwa umbali wowote uwe mfupi au mrefu kiasi gani hata iwe kilomita elfu moja toka kituo cha kupigia kura hiyo ni kwa mujibu wa uamuzi wa mahakamu kuu uliotolewa mwaka 2015.
Nakala ya katazo la mahakama kuu hili hapa