Uchaguzi 2020 Mpigakura kuahidi kukipigia kura chama cha siasa kwa kuandika namba ya kitambulisho cha mpiga kura na namba ya simu hii imekaaje?

Uchaguzi 2020 Mpigakura kuahidi kukipigia kura chama cha siasa kwa kuandika namba ya kitambulisho cha mpiga kura na namba ya simu hii imekaaje?

Najaza ila kura ni uamuzi wangu
Ukienda kupiga kura utakuta tayari ulishapiga,ukibisha.utaambiwa angalia.kidole na utaona wino.mzito ishara ya wewe,kupiga kura na.kuchovya kidole kwenye wino,na utauona.wino kidoleni.kwako,kitakachofuata ni Ku arestiwa kwa kosa la kutaka.kuharibu uchaguzi,kwa kupiga kura Mara mbili....chezea NEC/ZEC weye.!
 
Porojo,tutaamini vipi hiyo karatasi kama hujachapisha wewe kwaajili tu ya kukichafua chama cha mapinduzi,akuna muhuli,akuna saini ya kiongozi?
kwanza kura ni siri ya mtu unapiga kura kwenye kichumba kidogo akuna anaekuona,kwaiyo ondoa mashaka bwashee.
 
Ahaaa !!!! Ni kweli !? Wanajamii forum tunahitaji fomu iliyosainiwa tayari Kama Ushahidi ili mchangiaji aweze kuchangia kitu kilichodhibitishwa !

Nakuomba Sana tutumie fomu iliyosainiwa tayari . Je , wahusika wakiikana fomu hii na wakakuambia fomu hii ni wewe umeibuni na kuitengeneza Stationary , utakataa Ndugu yangu !?
Ataweka maisha na ajira za watu.mashakani/hatarini.sana mkuu.Chukulia kama taarifa chokonozi,na mbona.umechangia.vyema tu?!Hakunaga.Uongo.JF.
 
Mkuu Shinyanga moja hiyo! Hapa Manispaa, watumishi wote wamejazishwa fomu! Sijui sheria ya wapi hii? Taarifa hizi zimfikie Kamanda Lissu alikemee hili!
Habari. za Sikh mkuu,vipi.hapo.Shytown ule mchuano.wa Dada na Kaka,kwenye ubunge?!
 
Chama kimejiwekea utaratibu na wanachama wake! Nyie wengine meshapandwa na visebusebu! Si nanyie muandikishe wanachama wenu? Acheni kihoro, tar 28 tunawatwanga mafiga matatu.
Utakuwa CCM asili wewe ..umejibu kwa utulivu na hongera.
 
Mmmmhhhhhhh!
Mashikolo!

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Ndiyo tabia zenu
au sio!!!!!!!

hatutawaacha tarehe 28 ni ushindi wa kishindo cha atomic 89%.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
tapatalk_1602500583635.jpg
 
Hivi ni sahihi watu kuahidi kipiga kura kwa kujaza namba zao za vitambulisho na namba ya simu?

Lengo la kufanya hivyo ni nini? Je sheria za uchaguzi zinaruhusu zoezi hili?

Hii inanipa ukakasi, naona kama kuna mlango wa rushwa kupitia fomu hiyo.

Je, Hizo namba za kupigia kura ziko salama kiasi gani? Na je, namba za simu za alie ahidi haziwezi tumika kumtishia mpiga kura kufanya maamuzi ambayo pengine hayakuwa ya kwake kukipigia kura chama chenye fomu hii?

View attachment 1598319
Sio sawa inawalakini ndani yake.
 
Back
Top Bottom