Ngoja nimpe kura huyu jamaaOlamide anastahili hiyo TUZO Kamanda...
Nitafurahi sana kama na wewe utaungana na mimi katika kumdondoshea KURA huyu mtu..!
View attachment 409236
Shardcole sasa siku zote ulikuwa wapi kulijua hili, wote ni vijana wetu au ulikuwa unajitia uchizi kwa kukijitoa ufaham, badilika kwani hujui huko mbele nani atakusaidia au mlikuwa hamna uhakika kuna siku kiba atakuwa nominated ktk tuzo kubwa , nyie ndio mnazipalilia hizo timu zisizokuwa na viwanja BADILIKA acha utoto, ukiona route za kwenda dukani kununua kiwembe haziishi , jua umekuwa na unatakiwa ufikiri kwa kuona mbali.
Mnatumia browser gani kuvote??
UC mini inakataa nimerudia mara 5 sasa
Nahitaji kumpigia kura Ali Kiba ushindi uje nyumbani
Olamide anastahili hiyo TUZO Kamanda...
Nitafurahi sana kama na wewe utaungana na mimi katika kumdondoshea KURA huyu mtu..!
View attachment 409236
Poa mkuu ngoja nifanye hivyoMkuu download browser inaitwa "Puffin" ni nzuri sana kwa kuvote
umeguñdua leo! ungekuwa serious ungeomba radhi kwa kile ulichofanya siku zilizopita!!Ndugu zangu Diamond na Alikiba ni watoto wetu, Tuacheni kubagua, Kwa sasa tumpigie kura Alikiba, safar nyingibe inshalaah tutampa Diamond platinumz simba akija kuingia kwenye tuzo zozote huko mbeleni
ingawa kura yangu nampaNdugu zangu Diamond na Alikiba ni watoto wetu, Tuacheni kubagua, Kwa sasa tumpigie kura Alikiba, safar nyingibe inshalaah tutampa Diamond platinumz simba akija kuingia kwenye tuzo zozote huko mbeleni
Hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23] mkuki kwa nguruwe akiwa nominated diamond kipindi kile mli vote for wizkid saivi kawa nominated yeye eti wote watanzania kwa hiyo kipindi kile mond alikua mu Afghanistan "muoshwa huoshwa" overAcha uchochezi mkuu, Diamond na Alikiba wote ni vijana wetu, tunapofika kwenye suala la utaifa tuweke itikadi za uteam pembeni.
Poa mkuu ngoja nifanye hivyo
Mm nikiskia mtanzania yoyote anahitaji kura basi dakika 3 pia naona nachelewa. Na ushindi ukikosekana naumia sana utadhani tumezaliwa tumbo moja
Hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23] mkuki kwa nguruwe akiwa nominated diamond kipindi kile mli vote for wizkid saivi kawa nominated yeye eti wote watanzania kwa hiyo kipindi kile mond alikua mu Afghanistan "muoshwa huoshwa" over
umeguñdua leo! ungekuwa serious ungeomba radhi kwa kile ulichofanya siku zilizopita!!
Thank you for votingMkuu safi sana, Vote mara nyingi uwezavyo
Habari wakuu!
Kutokana na uzito wa tuzo hizi za MTV Europe Music Awards, ambapo Alikiba ni mtanzania pekee anayewakilisha Tanzania na East Africa kwenye mtanange huo.
Hapa nimeamua kuleta hii thread maalumu kwa ajili tu ya kupiga kura (Voting) , Watanzania wote na East Africans kwa ujumla karibuni hapa tumpigie kura Alikiba, ambapo tumebakiwa na siku chache tu.
1.Unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye link ntakayoituma hapa, itakupeleka moja kwa moja kwenye category aliyepo Kingkiba,
2.cha kufanya utaclick neno " VOTE" alaf utaletewa ujumbe thanks for voting, Unaruhusiwa kuvote mara nyingi uwezavyo.
Link ya kuvote
MTV EMA 2016 | 6.11.2016 | Rotterdam | Vote - Best Africa Act