Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Wakili wa Serikali afafanua
Wakili wa Serikali Mkuu Hangi Chang'aa aliyekuwa anaongoza jopo la Mawakili wa serikali katika kesi iliyokuwa imefunguliwa na Mbunge wa jimbo la Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri wa Kilimo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kesi ambayo Mbunge huyo 'ameangukia pua' amesema Mahakama haina mamlaka ya kuingilia kazi au majukumu yaliyofanywa na Bunge kwa mujibu wa kanuni na sheria labda itokee vinginevyo
Akizungumza na Jambo TV leo, Alhamisi Oktoba 24.2024 muda mfupi baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kukubaliana na mapingamizi yaliyowekwa na serikali kwenye kesi hiyo, Chang'aa amesema serikali imepokea kwa faraja maamuzi hayo kwa kuwa inaamini Mahakama imetenda maamuzi sahihi ambayo waliyataraj
PIA SOMA
- Kesi ya Mpina dhidi ya Bashe na Spika Tulia imeanza kusikilizwa Mahakamani leo Agost 28, 2024
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria
- Mawakili wa Mpina walivyoijibu Serikali kesi aliyomfungulia Spika, Waziri wa Kilimo
- Mpina afungua kesi dhidi ya Spika wa Bunge, Waziri wa Fedha, Waziri wa Kilimo, Kamishna wa TRA, AG na Makampuni ya kuagiza Sukari