Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 397
- 201
Hapa kweli ndo tunapohitaji katiba mpya. Maamuzi mengine unaona kabsa yanaamuliwa kwa manufaa ya upande mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbombo ngafu, ubaya ubwela. Mahakama yasema haiwezi kuingilia mambo yanayofanyika Bungeni, labda tu yawe yamevunja katiba..
Huu uamuzi umeandikwa kwa lugha ya Bibi Eliza (RIP), najua CDM hapa watatoka patupu
Hizi Mahakama ambazo kila siku Lissu anasema zinampa ushindi wa bure?Mahakama za Tanzania ni Mahakama UCHWARA ...... !!
mmeliwa kichwaMahakama za Tanzania ni Mahakama UCHWARA ...... !!
huy naye hana lolote ni walewale tuHizi Mahakama ambazo kila siku Lissu anasema zinampa ushindi wa bure?
Kwani ili uone haki imetendeka ulitaka lazima mpina ashinde kesi au ulikuwa na hukumu yako mkononi?Hivi Tanzania kuna mahakama??ili ata majaji wenyewe wanajua kuwa Tanzania kuna serikali hakuna mahakama wala bungee wananchii muelewe.
Akili itamkaa sawa.Acha Mpina ajionee kwa kiwango gani yeye na wanaccm wenzake wameshiriki kubaribu mifumo ya kutoa haki nchi hii. Utashangaa mtu kama Mpina anaona huu ujinga, lakini ukimwambia adai katiba mpya hayuko tayari, anasimama na mtazamo wa chama chake.
Wanaccm huwa wanaamini hizi mahakama ni kwa ajili ya kukomoa wapinzani, huku wakidhani wao wako salama.
Hizi Mahakama ambazo kila siku Lissu anasema zinampa ushindi wa bure?
Kangaroo courtsNilimshangaa sana mpina kukubali kutumia mahakama ambazo zinaamua kesi Kwa kupigiwa simu kutoka magogoni kwenye soko la samaki.yaani alienda lakini mshindi anajulukana
mmeliwa kichwa
SASA KAMA INAJULIKANA HIVYO ALIPELEKA KWANINI KUSHITAKI HAPO ANGEPELEKA ANAKOJUWA KUWA ATAPATA HAKI SASAHizo hizo ambazo mtu anainua simu kutoa maelekezo.
HUYO NDIYO ANA UMPUMBAVU SIYO MIMI UNAMSHTAKI BOSS WAKO HALAFU JAMAA YAANI SIDHANI KAMA AKILI ZAKE ZNAFANYA KAZI HIVI ETI WAZIRI WA FEDHA ,KILIMO ,SPIKA ,MWANASHERIA WOTE WASIMAME KAZI KUMSIKILIZA YEYE? USHUZI WA NCHI GANI HUO?Endeleeni tu kushabikia UPUMBAVU ....!!
SASA KAMA INAJULIKANA HIVYO ALIPELEKA KWANINI KUSHITAKI HAPO ANGEPELEKA ANAKOJUWA KUWA ATAPATA HAKI SASA
Ukiangalia mienendo ya mahakama za kenya na bongo unaona kabisa miaka 20 ijayo kenya watakua mbali sana uku sisi tukijiuliza tumechelewa wapi.Mahakama za Tanzania ni Mahakama UCHWARA ...... !!
Ukiangalia mienendo ya mahakama za kenya na bongo unaona kabisa miaka 20 ijayo kenya watakua mbali sana uku sisi tukijiuliza tumechelewa wapi.
Hapa ndio huwa nawakubali sana wale wazungu waliowekeza hapa nchini na kuamua kutumia mahakama za kimataifa. Vinginevyo wangekubali mashauri yao kupelekwa mwenye hizi mahakama za manyani, wangeshafilisika muda mrefu.Kwani ili uone haki imetendeka ulitaka lazima mpina ashinde kesi au ulikuwa na hukumu yako mkononi?