Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

Mbunge asiyepoa wa jimbo la Kisesa wilaya Meatu Mh Mpina akichangia bajeti ya wizara ya Nishati na madini amempongeza Rais Samia kwa kumfukuza waziri January Makamba kwenye wizara hiyo kwani alihusika na dili na ufisadi mkubwa sana kwenye wizara hiyo.

Mfano wa ufisadi ni kuajiri wafanyakazi 6 bila kutoa tangazo wala kuwafanyia interview, wafanyakazi hao walikuja kuhusika moja kwa moja na katakata ya umeme iliyokuwa imeshika kasi nchini.

Ufisadi namba mbili ni kufuta vituo vyote vya huduma kwa wateja mikoani na kucentralize huduma Dares salaam kwa kampuni la Airlink ambalo halijulikani lililetwa na nani, na wananchi kutozwa gharama kila wanapopiga huduma kwa wateja ambapo hizo hela haieleweki analipwa nani.

Ufisadi namba tatu ni mradi wa kuweka umeme kwenye mji wa serikali Mtumba ambapo January Makamba alipandisha gharama kutoka billioni 41 hadi billion 50 bila kuelezwa sababu ni nini!

View attachment 2973633
Nasubiri january aje ajibu ndio nitatoa maoni yangu!
 
Kumbuka wakati wa JPM, Musiba alimsema sana huyo kijana kuhusu ufisadi. Kama aliyosema Musiba ni ya kweli basi hata uenyekiti wa serikali za mtaa Makamba hastahili. Sikujua, kumbe kukatika katika umeme ilikuwa dili!! Hakika ameumiza wengi.
 
Sasa kasimame na Makamba mfanye debate tuone kama utamshinda. Acha kuwa na wivu wa kimaskini au wa kinepotism.
Makamba hana kitu. Debate akasimame na Dotto Magari au Mwijaku. Kwenye duru za managerial performance hakuna anachojuwa.

Weka CV yake hapa tuone alichosoma
 
Sasa kasimame na Makamba mfanye debate tuone kama utamshinda. Acha kuwa na wivu wa kimaskini au wa kinepotism.
Makamba hawezi kusimama na watu wenye elimu zetu zinazofahamika. Makamba hawezi kusimama na watu tuliopanda bila kubebwa.

Mta mu- admire nyinyi tu musio na akili
 
Mbunge asiyepoa wa jimbo la Kisesa wilaya Meatu Mh Mpina akichangia bajeti ya wizara ya Nishati na madini amempongeza Rais Samia kwa kumfukuza waziri January Makamba kwenye wizara hiyo kwani alihusika na dili na ufisadi mkubwa sana kwenye wizara hiyo.

Mfano wa ufisadi ni kuajiri wafanyakazi 6 bila kutoa tangazo wala kuwafanyia interview, wafanyakazi hao walikuja kuhusika moja kwa moja na katakata ya umeme iliyokuwa imeshika kasi nchini.

Ufisadi namba mbili ni kufuta vituo vyote vya huduma kwa wateja mikoani na kucentralize huduma Dares salaam kwa kampuni la Airlink ambalo halijulikani lililetwa na nani, na wananchi kutozwa gharama kila wanapopiga huduma kwa wateja ambapo hizo hela haieleweki analipwa nani.

Ufisadi namba tatu ni mradi wa kuweka umeme kwenye mji wa serikali Mtumba ambapo January Makamba alipandisha gharama kutoka billioni 41 hadi billion 50 bila kuelezwa sababu ni nini!

View attachment 2973633
Tunachoshangaa mbona wakifisadi, wakivurunda wanaendelea kupewa nafasi zingine serikalini?! Tena nyeti?! Chukuwa chako mapema ndipo wanapoonyesha udhoofu wao...
 
Kwanza kabisa Makamba alifutiwa matokeo ya mtihani wa fomfoo akiwa kijana mdogo. Jiulize kwanini alifutiwa matokeo? Kumbuka sio shule iliyofutiwa, January ndio alistukiwa na Baraza la mitihani.
Alisemaga yeye mwenyewe.
 
Mimi ni wa Nyanda za Juu ila simkubali Januari. Anapeta kwa sababu ya Msoga connection. Otherwise ni mburura tu kama Makonda

Huihui umenena ukweli mtupu. Makamba uwezo wake ni mdogo toka shuleni, ndiyo maana unasikia hata huko shuleni, aliiba mtihani wa kidato cha 4. Na hata katika utendaji kazi, hakuna lolote la pekee lililowahi kufanikiwa likihusishwa naye.

Sifa yake kubwa ni kuwa mtoto wa Makamba, na Makamba ni rafiki yake mkubwa wa Kikwete. Na Kikwete ndiye aliyemwinua Samia toka jalalani.
 
Back
Top Bottom