Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

Huyu Mbunge anazungumza maneno Kuntu ninampenda sana anasema ukweli kuliko Wabunge wengine Mungu amlinde amin. January alikuwa ni Mfisadi ndio Maana Rais Magufuli alimuondoa katika Uwaziri.
 
Un
Mbakama rinuja?

Hajawahi kufaa popote pale..., sema tu kwenye mafamilia kuna siri kubwa, huwenda hata hapo kwao alikuwa mpigaji sana, mtu hawezi kuacha chenji mezani
Unaloliona leo msingi wake umejengwa jana.
 
Anayasema kwasababu yeye ni mbunge sio waziri na kazi ya mbunge ni hiyo.

Ukiwa mbunge kazi yako ni kuisimamia serikali na ukiwa waziri wewe upo upande wa serikali.

Kinachotushangaza ni wabunge wengine kuwa chawa WA serikali badala ya kuisimamia serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…