Uko sahihi denooJ !Huyo kwangu ndie mbunge anayejitambua kule bungeni kwa sasa, ndie pekee anayetoa hoja nzito zinazowaumiza vichwa wahusika na kukosa majibu ya kuridhisha.
Hata kama itasemwa aliingia bungeni kwa njia zisizo halali, lakini kwa kutetea kwake maslahi ya taifa na kuweka pembeni maslahi yake na chama chake, anastahili pongezi kwa kuwaamsha watendaji serikalini watimize wajibu wao.
Mnalazimika kufanya hivyo !!!@johnthebaptist
Kwa maneno haya!
[emoji116]
Tunalazimika kufikiria hivyo!
Nitakuletea,yeye alikuwa waziri wa Uvuvi,alisimamia zoezi la kupambana na uvuvi haramu ziwa Victoria.Mh.Mpina alikua mbunge wakati wa awamu ya tano?kuna mwenye clips zake kuhusu mchango wake bungeni kipindi cha mwendazake, maana ya kuuliza hii ni kutaka kujua impartiality ya Mhe huyu
Rudia Clip ya mwisho ya Mpina...hii hapa!A
Anaongeaga ujinga ndo mana mwigulu amempa shule ya maana na kumwonyesha kwamba hajui chochote kuhusu uchumi ispokuwa uchawi tu. Kinachowacost watanzania wengi ni elimu duni hawaelewi chochote ndo mana wamebaki wanashabikia tu anayefoka bila content ili mradi aonekane aneiponda serikali. Hapa ndo utajua kwa nini watu mbumbumbu walimpenda sana Jpm ukiwauliza kwa Nini wankwambia alikuwa anaongea kwa kufika Hadi Raha.
Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.Rudia Clip ya mwisho ya Mpina...hii hapa!
Wacha Uzwazwa!
Mpina anasimama na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali. "CAG"
Hatowi tuhuma nyumbani kwake,anairudia ripoti ya kamati ya bunge hilohilo!
#Mwigulunchemba anapaswa kujibu kwa vielelezo na sio mipasho!
Ni aibu kuwa na waziri Kilaza kama huyu,kwenye wizara nyeti kwa taifa!
Hiyo mipasho alipaswa kumpa CAG, kama ni Uongo....basi muongo ni CAG na sio Mpina!
Muulize waziri wa Elimu...Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
Wewe ni sehemu ya lile kundi,ni vigumu sana kuona logic kwenye hoja za mpina,A
Anaongeaga ujinga ndo mana mwigulu amempa shule ya maana na kumwonyesha kwamba hajui chochote kuhusu uchumi ispokuwa uchawi tu. Kinachowacost watanzania wengi ni elimu duni hawaelewi chochote ndo mana wamebaki wanashabikia tu anayefoka bila content ili mradi aonekane aneiponda serikali. Hapa ndo utajua kwa nini watu mbumbumbu walimpenda sana Jpm ukiwauliza kwa Nini wankwambia alikuwa anaongea kwa kufika Hadi Raha.
Hana hoja yoyote. Ndo mana mwigulu amempa shule ya uchumi mpaka akatia hurumaWewe ni sehemu ya lile kundi,ni vigumu sana kuona logic kwenye hoja za mpina,
Ndiye jana ameelezea shida za ranking hizo za elimu Tanzania, GPA hai reflect uwezo wa mtu kwakua wapo wenye GPA za 4.8 lakini hawa relate na hizo so do not be obessed, pengine mmoja alitumia muda wake kuelewa akakosa marks za mwl za kukariri majibu na mwingine alikariri vizuri lakini hakung'amua maana ya alichokikaririWaziri wa elimu ameingiaje hapa.
Ukielewa lazima ufaulu. Huwezi kuelewa halafu ukafeli. Acheni kulishana ujingaNdiye jana ameelezea shida za ranking hizo za elimu Tanzania, GPA hai reflect uwezo wa mtu kwakua wapo wenye GPA za 4.8 lakini hawa relate na hizo so do not be obessed, pengine mmoja alitumia muda wake kuelewa akakosa marks za mwl za kukariri majibu na mwinhine alikariri vizuri lakini hakung'amua maana ya alichokikariri
Kuelewa ina implication ya time...Kama alielewa hiyo GPA ingeji reflect kwenye utendaji wake so far uchumi una yumba sana why?Uki
Ukielewa lazima ufaulu. Huwezi kuelewa halafu ukafeli. Acheni kulishana ujinga