Pre GE2025 Mpina anatumia nafasi hii ili arudi kwenye uwanja wa siasa baada ya kupotea kwenye ramani

Pre GE2025 Mpina anatumia nafasi hii ili arudi kwenye uwanja wa siasa baada ya kupotea kwenye ramani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za wakati huu wanajamiiforum?

Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.

Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?

Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.

Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020

Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.

Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.

Wakati mwema.
Napenda kula ugali wa dona lakini wa moto hata bila mboga, ukimwaga mboga sitojali
 
Tuhuma za uongo? Hivi umejaza matope kichwan? Mara ngapi, katika mambo mangapi MPINA kasema, katoa ushahidi, imethibitika .

Unahisi Kwa ubunge tu wa kawaida wa Mpina , anaweza kua na access na Shahidi za namna Ile ?. Nyuma ya MPINA tupo Wazalendo..



Shahidi za MPINA ni za kweli na haki , in fact MPINA ni Mwanadam asiyena hulka ya UONGO AU MAJUNGU.


YULE NI MSOMI ALOSOMA NA AKABARIKIWA UWEZO WA KUWEKA KWENYE MATENDO KILE ALICHOSEMEA.


ANA IQ KUBWA !!.



KAZI KWENU SASA KUTHIBIBITISHA UONGO WA MPINA..
YEYE ALISHATHIBITISHA UKWELI WAKE.
relax bas gentleman 🐒

ukianza mihemko utahitimisha sasa na matusi tu, maana naona umeanza kupasha misuli kwa hilo na haitasaidia ...

na huyo unae mtetea bila kulambishwa sukari na makampuni ya sukari, wala hata hangekua na nguvu ya kujaribu kuufanya uongo kua kweli,

alishadanganya bunge huko nyuma kwa kujadili takwimu ambazo hata haziko kwenye tovuti za Serikali akakalishwa chini na spika,

hivi sasa anakuja na ubunifu, uzushi na uongo dhidi ya waandamizi serikalini, kwa style ile ile ya chuki binafsi na wivu wa kubanduliwa kwenye baraza la mawaziri, na uongo huu utapelekea kubanduliwa uanachama, maana hamna nyingine....

so,
gentleman ni vizuri kurilax kiliko kupanic, unapojadili mambo haya ili ujifunze, upate uelewa na ufahamu wa kutosha , itakusaidia 🐒
 
Habari za wakati huu wanajamiiforum?

Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.

Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?

Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.

Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020

Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.

Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.

Wakati mwema.
Tushughulikie na la bashe kwanza then tuangalie hizo hekaya!
 
Habari za wakati huu wanajamiiforum?


Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.

Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?

Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.

Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020

Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.

Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.

Wakati mwema.

====

Pia soma:

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

Mpina kakuwekeni la kati kabisa mnarukaruka ovyo kama popcorn
 
Hizi ni stori. Jibuni hoja za scandal ya sukari. Stationary kupewa vibali vya ku import Sukari. Bizi za Mpina sijji kafanya hiki au kile tulisha ambiwa miaka kibao iliyo pita.
Ukifumaniwa usi jitetee mbona na wewe ulisha fanya? Jibu hoja.
Ndio ujinga wake huo,tutauweka hadharani
 
Habari za wakati huu wanajamiiforum?


Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.

Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?

Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.

Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020

Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.

Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.

Wakati mwema.

====

Pia soma:
Ni Sawa lakini kwa haya anayofichua kwasasa yanatija mno kwa watanzania. Tuchukue mazuri yake ili matapeli tuwafyeke wote. Na matapeli ya nchi hii ni kama hilo jina lako hapo
 
Ni Sawa lakini kwa haya anayofichua kwasasa yanatija mno kwa watanzania. Tuchukue mazuri yake ili matapeli tuwafyeke wote. Na matapeli ya nchi hii ni kama hilo jina lako hapo
Kama matapeli wa chadema
 
Habari za wakati huu wanajamiiforum?


Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.

Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?

Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.

Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020

Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.

Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.

Wakati mwema.

====

Pia soma:
Kuna kosa kubwa umefanya, kutokuweka Namba ya simu. Bashe atakutumiaje miamala. Weka Namba ya simu haraka.
 
Back
Top Bottom