Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna utapeli Zaidi wa Rais kuteua Marehemu?.Kama matapeli wa chadema
Kweli Fisadi Bashe apingwe.Mafisadi wapingwe
Amefisadi Nini?. Mfichua ufisadi mnamwita fisadi uchawa kwa CCM.Endelea kumtetea fisadi mpina
Abaki huko chama Cha mafisadi.Mpokeeni chadema
Unaweweseka mpaka hujui unachoandika.Habari za wakati huu wanajamiiforum?
Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.
Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?
Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.
Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020
Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.
Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.
Wakati mwema.
====
Pia soma:
Hiyo ndiyo CCM ya zama hizi, CCM ya vilaza wa kupindukia kama huyu CCM MKAMBARANI .Kwa hiyo mtazamo wa CCM ni kuwa kufichua ufisadi ni kazi ya Chadema tu na mtu wa CCM akifanya hivyo anavuliwa uanachama, basi poa.
SI ndiye mjadala upo juu!Hekaya za mpina sindio?
Majizi wakubwa endeleeni kutoleana Siri zenuHabari za wakati huu wanajamiiforum?
Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini.
Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo uliokuwepo wakati wa baba yake Magufuli?
Jibu ni hapana,alikuwa anajua na alifaidika na mfumo. Mpina kahodhi ardhi kubwa sana mkoani Morogoro na hataki kuiendeleza.
Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020
Huyu mtu anataka kionekana makini lakini hana uwezo huo sababu ni wazi anajua anakwenda kupoteza muelekeo na hakuna wa kumpa nafasi tena serikalini.
Tutaendelea kutoa taarifa zake ili umma ujue ukweli kuhusu yeye.
Wakati mwema.
====
Pia soma: