Pre GE2025 Mpina anatumia nafasi hii ili arudi kwenye uwanja wa siasa baada ya kupotea kwenye ramani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Napenda kula ugali wa dona lakini wa moto hata bila mboga, ukimwaga mboga sitojali
 
relax bas gentleman 🐒

ukianza mihemko utahitimisha sasa na matusi tu, maana naona umeanza kupasha misuli kwa hilo na haitasaidia ...

na huyo unae mtetea bila kulambishwa sukari na makampuni ya sukari, wala hata hangekua na nguvu ya kujaribu kuufanya uongo kua kweli,

alishadanganya bunge huko nyuma kwa kujadili takwimu ambazo hata haziko kwenye tovuti za Serikali akakalishwa chini na spika,

hivi sasa anakuja na ubunifu, uzushi na uongo dhidi ya waandamizi serikalini, kwa style ile ile ya chuki binafsi na wivu wa kubanduliwa kwenye baraza la mawaziri, na uongo huu utapelekea kubanduliwa uanachama, maana hamna nyingine....

so,
gentleman ni vizuri kurilax kiliko kupanic, unapojadili mambo haya ili ujifunze, upate uelewa na ufahamu wa kutosha , itakusaidia 🐒
 
Tushughulikie na la bashe kwanza then tuangalie hizo hekaya!
 
Mpina kakuwekeni la kati kabisa mnarukaruka ovyo kama popcorn
 
Hizi ni stori. Jibuni hoja za scandal ya sukari. Stationary kupewa vibali vya ku import Sukari. Bizi za Mpina sijji kafanya hiki au kile tulisha ambiwa miaka kibao iliyo pita.
Ukifumaniwa usi jitetee mbona na wewe ulisha fanya? Jibu hoja.
Ndio ujinga wake huo,tutauweka hadharani
 
Ni Sawa lakini kwa haya anayofichua kwasasa yanatija mno kwa watanzania. Tuchukue mazuri yake ili matapeli tuwafyeke wote. Na matapeli ya nchi hii ni kama hilo jina lako hapo
 
Ni Sawa lakini kwa haya anayofichua kwasasa yanatija mno kwa watanzania. Tuchukue mazuri yake ili matapeli tuwafyeke wote. Na matapeli ya nchi hii ni kama hilo jina lako hapo
Kama matapeli wa chadema
 
Kuna kosa kubwa umefanya, kutokuweka Namba ya simu. Bashe atakutumiaje miamala. Weka Namba ya simu haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…