Pre GE2025 Mpina anatumia nafasi hii ili arudi kwenye uwanja wa siasa baada ya kupotea kwenye ramani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaweweseka mpaka hujui unachoandika.
Hii hapa chini ni kitu gani umeandika!!??
"Mpina amewahi kutoa taarifa ili kujikinga na uovu wake, alitaka kampuni yake ya Mpina Holding, iliyosajiliwa Brela kwa na. Brl/656/56/2020".

Alitaka kampuni yake ifanye nini
CCM ni baba wa uongo.
 
Majizi wakubwa endeleeni kutoleana Siri zenu

Chama Cha Majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…