Mpina ataka mdahalo na Mwigulu ufisadi wa Trilioni 30

Mpina ataka mdahalo na Mwigulu ufisadi wa Trilioni 30

Mwigulu hawezi kukubali maana anajua uovu anaoufanya
Nakumbuka wakati ule anapiga debe kurejeshwa kwa service charge kwenye luku alidaii itakuwa kwa muda tu ili wafikie malengo ya kujenga hospital na zahanati hasa vijijini, hawa jamaa sijui wanampango gani na mustakabali wa mtanzania wa kipato cha chini maana tunashindwa kufanya kazi zetu kwasababu upatikanaji wa umeme ni janga kubwa sana. Umeme hatupati na bado gharama ya service charge imeongezeka, na kazi hatufanyi kwasababu mara nyingi huku kwetu umeme unawashwa usiku kuliko mchana. Hii inji hii, ngachoka kabisa kabisa.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.

Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.

Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
waziri wetu hawezi kufanya mdahalo na kichaa. Yule ameshapanic ni km amechanganyikiwa.
 
Acha ujinga wewe soma vizuri hizo taarifa acha kujifanya mjuaji unaijua elimu ya Mpina wewe? unajua kasomea nini? anachokisema Mpina anakifahamu ndio maana kaomba mdahalo sasa wewe mkumbushe mwigulu kwamba anahitajika kwenye mdahalo ili naye aeleze anachojua kuhusu hoja hiyo
Mpina laikuwa kilaza tu pale Mzumbe, we ni mwehi mwenzake, kenge nyie hamuoni hata haya?
 
Nakumbuka wakati ule anapiga debe kurejeshwa kwa service charge kwenye luku alidaii itakuwa kwa muda tu ili wafikie malengo ya kujenga hospital na zahanati hasa vijijini, hawa jamaa sijui wanampango gani na mustakabali wa mtanzania wa kipato cha chini maana tunashindwa kufanya kazi zetu kwasababu upatikanaji wa umeme ni janga kubwa sana. Umeme hatupati na bado gharama ya service charge imeongezeka, na kazi hatufanyi kwasababu mara nyingi huku kwetu umeme unawashwa usiku kuliko mchana. Hii inji hii, ngachoka kabisa kabisa.
Mwigulu ni hasara kwa taifa
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.

Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.

Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mwigulu hana uwezo wa kuukubali huo mdahalo.., maana itakuwa ni fedheha kubwa sana kwake, kwanza alitwambia awamu hii hakuna wizi, uongo uongo tu na makanisani sijuwi huwa wanafuata nini.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.

Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.

Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mwigulu hawezi kukubali; ataumbuka. Ameishaiba hela nuongo sana kwa kushirikiana na mafisadi wenzake ndani Ya CCM
 
Huu mjadala hautokaa utokee.Mtego huu ataukwepa maana unaweza kuwavua nguo watu fulani.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.

Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.

Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mwigu amesahau Hadi kunyoa ndevu,

Amekuwa kama savimbi!!
 
Mpina anatumia haki yake ya kutoshtakiwa anapokuwa bungeni Sasa jichanganyeni mtumie maneno yake kama reference.

Hayo maneno anayasema bungeni tu nje ya bunge hawezi kusema hayo. Hata mjinga hawezi kuamini katika trilion 35 zilizokusanywa eti trilion 30 zimepigwa ? Na hapo hapo Serikali ikaendelea na shughuli zake za kawaida?
Huna point, ni matisho tu.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.

Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.

Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mwamba kakomaa...
 
Back
Top Bottom