Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Nakumbuka wakati ule anapiga debe kurejeshwa kwa service charge kwenye luku alidaii itakuwa kwa muda tu ili wafikie malengo ya kujenga hospital na zahanati hasa vijijini, hawa jamaa sijui wanampango gani na mustakabali wa mtanzania wa kipato cha chini maana tunashindwa kufanya kazi zetu kwasababu upatikanaji wa umeme ni janga kubwa sana. Umeme hatupati na bado gharama ya service charge imeongezeka, na kazi hatufanyi kwasababu mara nyingi huku kwetu umeme unawashwa usiku kuliko mchana. Hii inji hii, ngachoka kabisa kabisa.Mwigulu hawezi kukubali maana anajua uovu anaoufanya
waziri wetu hawezi kufanya mdahalo na kichaa. Yule ameshapanic ni km amechanganyikiwa.Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.
Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.
Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mpina laikuwa kilaza tu pale Mzumbe, we ni mwehi mwenzake, kenge nyie hamuoni hata haya?Acha ujinga wewe soma vizuri hizo taarifa acha kujifanya mjuaji unaijua elimu ya Mpina wewe? unajua kasomea nini? anachokisema Mpina anakifahamu ndio maana kaomba mdahalo sasa wewe mkumbushe mwigulu kwamba anahitajika kwenye mdahalo ili naye aeleze anachojua kuhusu hoja hiyo
Mwigulu ni hasara kwa taifaNakumbuka wakati ule anapiga debe kurejeshwa kwa service charge kwenye luku alidaii itakuwa kwa muda tu ili wafikie malengo ya kujenga hospital na zahanati hasa vijijini, hawa jamaa sijui wanampango gani na mustakabali wa mtanzania wa kipato cha chini maana tunashindwa kufanya kazi zetu kwasababu upatikanaji wa umeme ni janga kubwa sana. Umeme hatupati na bado gharama ya service charge imeongezeka, na kazi hatufanyi kwasababu mara nyingi huku kwetu umeme unawashwa usiku kuliko mchana. Hii inji hii, ngachoka kabisa kabisa.
Nchi haina dira yani tunapelekwapelekwa tu kwa utashi wa mtu mmoja mmoja. Mkuu hali ya kipato imekuwa ngumu sana mkuuMwigulu ni hasara kwa taifa
Balaa mkuu, mi hata nauli ya boda boda imekuwa changamoto haswaNchi haina dira yani tunapelekwapelekwa tu kwa utashi wa mtu mmoja mmoja. Mkuu hali ya kipato imekuwa ngumu sana mkuu
Mwigulu hana uwezo wa kuukubali huo mdahalo.., maana itakuwa ni fedheha kubwa sana kwake, kwanza alitwambia awamu hii hakuna wizi, uongo uongo tu na makanisani sijuwi huwa wanafuata nini.Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.
Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.
Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Mwigulu hawezi kukubali; ataumbuka. Ameishaiba hela nuongo sana kwa kushirikiana na mafisadi wenzake ndani Ya CCMMbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.
Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.
Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
MAKUSANYO NI CASH HIZO 280 T ZINAWEZA KUWA THAMAN YA ASSETSWewe na yeye wote akili moja .
Makusanyo ya nchi nzima hayafiki trillion 25...
Uje useme tumeibiwa trillion 280..?
Mwigu amesahau Hadi kunyoa ndevu,Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.
Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.
Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.
Kwa muda gani?Wewe na yeye wote akili moja .
Makusanyo ya nchi nzima hayafiki trillion 25...
Uje useme tumeibiwa trillion 280..?
Huna point, ni matisho tu.Mpina anatumia haki yake ya kutoshtakiwa anapokuwa bungeni Sasa jichanganyeni mtumie maneno yake kama reference.
Hayo maneno anayasema bungeni tu nje ya bunge hawezi kusema hayo. Hata mjinga hawezi kuamini katika trilion 35 zilizokusanywa eti trilion 30 zimepigwa ? Na hapo hapo Serikali ikaendelea na shughuli zake za kawaida?
Mbona unalazimisha sana ukamanda komredi?!Maajabu kamanda wangu
Mi nakumbuka mwaka ule Ngoyai alimualika pimbi kwenye mdahalo kwa lugha ya mfalme. Jamaa sikumuona alipita wapiMwigulu hawezi kukubali maana anajua uovu anaoufanya
CCM wengi ni majangili tupuMi nakumbuka mwaka ule Ngoyai alimualika pimbi kwenye mdahalo kwa lugha ya mfalme. Jamaa sikumuona alipita wapi
Mwamba kakomaa...Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya CAG ili kukata mzizi wa fitna.
Mpina alisema wakati anachangia ripoti ya CAG, Waziri Mwigulu alimfanyia fujo kwa kumkatiza kwa kujifanya anampa taarifa kumbe ulikuwa ni ujanja wa kumpotezea muda ashindwe kudadavua vizuri ufisadi wa Trilioni 30.
Hivyo Mpina amemuomba Waziri Mwigulu kukubali ashiriki mdahalo live kwenye luninga wakizungumzia ufisadi huo wa Trilioni 30.