Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,059
Wapinzani wana Serikali?Magufuli hayupo Sasa wapinzani wako wapi?
Unahitaji ushahidi gani kiongozi .Akizungumza Bungeni leo Lugaha Mpina amedai ya kuwa kuna maagizo aliyatoa Waziri Mkuu na hayafanyiwi kazi na Waziri Mkuu yupo kimya hatua inayoonesha labda naye ameridhia
Hata hivyo hoja zake zilipingwa na Waziri Jennista Mhagama akidai ya kuwa hazina ukweli kwamba maagizo yanafanyiwa kazi na machache sana inawezekana bado hayajafanyiwa kazi
Mpina amesema kuwa tangu Waziri Mkuu akataze ‘Kamatakamata ya Mifugo bila kushirikisha Wananchi’, jambo hilo limekuwa likiendelea katika baadhi ya maeneo akidai na ushahidi upo
Spika wa Bunge amemtaka Mpina kuwasilisha Ushahidi wa mambo hayo kabla yeye hajatolea uamuzi jambo hilo ikiwa ni kweli Mpina amedanganya Bunge au la (Taarifa ya Waziri Mhagama)
==
MY TAKE
Hapa nadhani Mpina keshaingia Kwenye 18 akishindwa kuleta ushahidi atatupwa nje ya Bunge hadi mwakani 2024
Akirudi Ripoti ya CAG ishajadiliwa na maazimio yameshatolewa
Mungu wa mbinguni awabariki!
Ndio hayuko ila maamuzi na matendo yake tunayo leo na yanatusumbua mno. Mfano hilo Bunge, miongoni mwa madudu yake mengi aliyotuachia.Magufuli hayupo Sasa wapinzani wako wapi?
Shujaa wa wapiKwani hayaonekani waziri mkuu ni hopeless ndani ya taifa hili kwanza ni muongo mkubwa alidanganya kuwa shujaa ni mzima kumbe RIP tena akiwa kwenye nyumba ya ibada.
Siku hizi Uchawa na Usanii unalipa sana, Yaani katika Bunge la leo kama kuna Mpinzani ni huyu Jamaa MPINA! Mtu mmoja analiamsha Bunge zima. Yeye kazungumzia miaka ya nyuma na mifano katoa mifugo zaidi ya Elfu 3 kuuza kiholela. Wao wanadao kasema haya yametokea baada ya Hotuba ya Waziri Mkuu majuzi.
Toka hapa wewe Nyumbu. Tunajadili yaliyojili Bungeni hivi karibuni. Hivi nyie CHADEMA vichwa vyenu vimejaa takataka gani lakini?Tuanzie kwanza aliupataje ubunge wake, kwa kura au kuhujumu wagombea wengine apite bila kupingwa? Kama ameingia kwa njia za kihuni basi maagizo yake ni ya kupuuzwa.
Leo kichwa chako umekirudisha mahali pake sawaswa kabisa.Akizungumza Bungeni leo Lugaha Mpina amedai ya kuwa kuna maagizo aliyatoa Waziri Mkuu na hayafanyiwi kazi na Waziri Mkuu yupo kimya hatua inayoonesha labda naye ameridhia
Hata hivyo hoja zake zilipingwa na Waziri Jennista Mhagama akidai ya kuwa hazina ukweli kwamba maagizo yanafanyiwa kazi na machache sana inawezekana bado hayajafanyiwa kazi
Mpina amesema kuwa tangu Waziri Mkuu akataze ‘Kamatakamata ya Mifugo bila kushirikisha Wananchi’, jambo hilo limekuwa likiendelea katika baadhi ya maeneo akidai na ushahidi upo
Spika wa Bunge amemtaka Mpina kuwasilisha Ushahidi wa mambo hayo kabla yeye hajatolea uamuzi jambo hilo ikiwa ni kweli Mpina amedanganya Bunge au la (Taarifa ya Waziri Mhagama)
==
MY TAKE
Hapa nadhani Mpina keshaingia Kwenye 18 akishindwa kuleta ushahidi atatupwa nje ya Bunge hadi mwakani 2024
Akirudi Ripoti ya CAG ishajadiliwa na maazimio yameshatolewa
Mungu wa mbinguni awabariki!
Mbowe anavyobugia asali bila kupaliwa hatuoni ajabu kumshambulia JPM.Wapinzani wana Serikali?
Hao Magufuli aliokuwa anawahujumu, kuwafunga hata kuwaua - leo ghafla wawe na majukumu ya kiserikali? Uko serious kweli ?
Tupeni matokeo ya "Mafiga matatu" ya Magufuli.
CHADEMA haimo Bungeni (kasoro yule wa Nkasi, ambaye naye ni kama CCM); lakini mbona hata huko nje ya Bunge imekuwa kama haipo?Luhanga Mpina karibu CHADEMA Bro.
Kwani Mpina ndiye aliyepima au ni watumishi wa serikali!!?Alkili kubwa ya kupima samaria kwa rula hahaha huyo anayepima samaria mwenyewe ni mtu wake walewale tu. Unamdanganya nani?
Unajua aliyepima na mpina wapoje mzee.Kwani Mpina ndiye aliyepima au ni watumishi wa serikali!!?
Sasa unaniuliza mimi tena!? Jibu swali nj mtumishi wa serikali au la?Unajua aliyepima na mpina wapoje mzee.
Yaani umeshiba propganda unadhani kila mtu yuko kama wewe.Mbowe anavyobugia asali bila kupaliwa hatuoni ajabu kumshambulia JPM.
Kwa sasa ni kulamba na kulala fofofo
2025CHADEMA haimo Bungeni (kasoro yule wa Nkasi, ambaye naye ni kama CCM); lakini mbona hata huko nje ya Bunge imekuwa kama haipo?
Hii dawa ya ganzi iliyodungwa kweli itakwisha karibuni?
Ili iwe "2025" ni lazima iwepo leo! Kazi kuifikia 2025 ni Leo, siyo 2025!2025
Wapinzani wametuchelewesha sana guys ( lemutuz)Hakuna la maana sio tamko wala nini watu walishampuuza tangu zamani
USSR
Akae hukohuko hawa ndiyo wale baadae anarudi alipotoka usiwaamini kina kambaya hawaLuhanga Mpina karibu CHADEMA Bro.
Acha kupanick dogo.Toka hapa wewe Nyumbu. Tunajadili yaliyojili Bungeni hivi karibuni. Hivi nyie CHADEMA vichwa vyenu vimejaa takataka gani lakini?
Na mabasi kuto kuingia mizaniMagari mwisho saa 12 kutembea barabarani.