Hata 🔫 ukishupaza shingo. Prof Mkenda alimaliza kila kitu.Bashe katembeza rushwa vizuri wote hawaoni point za Mpina wala wazalishaji wa sukari
Mkenda alikuwepo pale? shame on youHata 🔫 ukishupaza shingo. Prof Mkenda alimaliza kila kitu.
Tumia jicho la tatu, (fikiria nje ya sanduku) utapata jibu, soma pia kuhusu ostracism utanishukuruMJADALA wa Kashfa ya Sukari umezungumza sana ndani ya Bunge na nje ya Bunge hadi kusababisha Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni baada ya kumtuhumu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kusema uongo kuhusu utoaji wa vibali vya waagizaji sukari nje ya nchi.
Jana Profesa Bengesi wa Bodi ya Sukari naye amezungumza kuhusiana na kashfa hiyo na uzuri watanzania wote tumewasikia kuanzia Mpina, Bashe, Kamati ya Bunge ya Maadili, Spika Tulia, Wazalishaji wa sukari na Bodi yenyewe ya Sukari kama wananchi sasa tumuamini nani?
Benjamini Netanyahu umekurupuka kuandika. Prof Mkenda alishaliongelea jambo la kuhakikisha viwanda vinapewa umuhimu vya ndani so alichokifanya Bashe yeye alikikataa kwa sababu hakikuwa na maslahi, na huyu mwenyekiti wa bodi ni mla rushwa hafai kabisaMkenda alikuwepo pale? shame on you