saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
MJADALA wa Kashfa ya Sukari umezungumza sana ndani ya Bunge na nje ya Bunge hadi kusababisha Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni baada ya kumtuhumu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kusema uongo kuhusu utoaji wa vibali vya waagizaji sukari nje ya nchi.
Jana Profesa Bengesi wa Bodi ya Sukari naye amezungumza kuhusiana na kashfa hiyo na uzuri watanzania wote tumewasikia kuanzia Mpina, Bashe, Kamati ya Bunge ya Maadili, Spika Tulia, Wazalishaji wa sukari na Bodi yenyewe ya Sukari kama wananchi sasa tumuamini nani?
Jana Profesa Bengesi wa Bodi ya Sukari naye amezungumza kuhusiana na kashfa hiyo na uzuri watanzania wote tumewasikia kuanzia Mpina, Bashe, Kamati ya Bunge ya Maadili, Spika Tulia, Wazalishaji wa sukari na Bodi yenyewe ya Sukari kama wananchi sasa tumuamini nani?