Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha salama?!"

"Yule kijana (Mwandishi wa TBC)aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na v8 akapangwa cha kwenda kureport including wale viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"Acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Uaneni kabisa mnatuchosha maana hamna faida yeyote.
 
Anayosema Mpina mbona ni ukweli?! CHAWA tulieni fuatilieni hayo madai myashughulikie. Mtawanyamazisha wangapi?! 2025 yaonekana siyo ushindi wa kishindo kabisa...
 
Mpina amini usiamini, yule 'waziri wa ufisadi' na mikataba michafu yupo nyuma ya hii kitu ili kukuondoa ktk reli.
endelea kumkimbiza hadi speed 120 round about.
 
"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha salama?!"

"Yule kijana (Mwandishi wa TBC)aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na v8 akapangwa cha kwenda kureport including wale viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"Acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Ameongelea wapi? Mpina anaongelea bungeni au kwenye media huo ni uzushi timu wahanga wa CAG mnautunga kuwayumbisha wananchi...tuwekee hiyo video anayosema hayo maneno
 
mpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
Sasa kwanini asiseme mkuu? Kwani matatizo yaliyopo ktk hii nchini ajira peke yake mpaka umuone Mpina ana kinyongo?
 
"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha salama?!"

"Yule kijana (Mwandishi wa TBC)aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na v8 akapangwa cha kwenda kureport including wale viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"Acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Umelikoroga ulinywe.
 
Mpina akamatwe na ahojiwe kwa masaa 72 analeta maneno ya kichochezi kwenye nchi ya amani
 
"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha salama?!"

"Yule kijana (Mwandishi wa TBC)aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na v8 akapangwa cha kwenda kureport including wale viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"Acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Swali je ardhi ulipata kihalali
 
Ila kitendo cha kupima samaki aliye kauka kwa rula kweli nalo tutalikumbuka
 
Back
Top Bottom