Hawezi, atasubiria ccm wakutane kumfukuza Mpina ndio ataandika.Lucas Mwashambwa anko unaandaa gazeti bila Shaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi, atasubiria ccm wakutane kumfukuza Mpina ndio ataandika.Lucas Mwashambwa anko unaandaa gazeti bila Shaka.
Zitto Jr ni nyumbu siyo chawa.Hahaha zitto junior sikiliza vizuri ukija uwe na hoja usije ukaanza kuleta uchawa.
Hampendi Mpina hadi anatetemeka, wanakikundi chao, wanaongozwa na Faiza fox.Zitto Jr ni nyumbu siyo chawa.
Viva Luhaga Mpina
Kheeeeee😳😳😳😳1. Mpina
2. Makonda
3. Ally Happy
4. Kabudi
Ndio nawaona kuvusha nchi
Mpina kaamua liwalo na liwe, Wote tunaifahamu nchi hii na mahakama zake zote zinaongozwa tokea Lumumba lakini, hana kwingine pa kwenda, umesikia wameshaenda kumshitaki kamati kuu yao ya ccm, sijui na huko halmashauri kuu. Naye anatafuta haki yake ataipata wapi?Dah!
Hivi inawezekana? Waziri na wanufaika wa Sukari kujibu tuhuma Mahakamani? Sidhani kuwa jambo la namna hii lilisha wahi tokea ndani ya nchi hii!
Sasa na CCM hii na mahakama yenyewe yalivyo... hili litawezekana?
Umesahau moja ile inasema "Mti wenye matunda..."Kifo cha nyani, miti yote hutereza
Mbio za sakafuni, huishia ukingoni
Debe tupu, haliishi kelele
Hio sio methali, ni kitendawiliUmesahau moja ile inasema "Mti wenye matunda..."
Nitajulia wapi hiyo mipasho ya UVCC?Hio sio methali, ni kitendawili
Mwashambwa Leo analala bila kyupiWale MACHAWA sijui wako wapi leo
Ni moto juu ya motoAnatema madini na anawaacha UCHI.
Na joto hili la DarMwashambwa Leo analala bila kyupi
Kwakweli wamekalia simeAnatema madini na anawaacha UCHI.
Watamfaidi wanao mpapasa, maana atakuwa kachanganyikiwa.Mwashambwa Leo analala bila kyupi
Unasifia ujinga? Anajielewa nini, haukusomwa ushahidi alioutowa bungeni na kamati kifungu kwa kifungu, ikawa hakuna ushahidi hata mmoja?Mpina anajielewa sana, ameamua kuachana na Katiba ya JMT 1977 inayompa uhuru wa kutoa maoni yake, akaona awakaange directly kwenye kanuni zao za bunge.
Ni kweli, Spika kusema taarifa aliyowasilisha Mpina kwake na kuundiwa kamati ilikuwa ya siri, hiyo siri inakuja vipi ikiwa wakati wa utoaji wa taarifa husika bunge lilikuwa live likirusha matangazo yake kwa njia za Tv na radio? kwani hapo wananchi hawakuona na kusikia?!
Spika Tulia hajui anachofanya, ameamua kumlinda Bashe na mama Abdul na kuigeuzia hii kesi upande wa bunge, kama vile tuhuma za Mpina zililihusu Bunge, wakati ukweli Mpina alimtuhumu Bashe kusema uongo bungeni.
Ajabu mpaka leo Bashe yuko kimya, hii maana yake hana majibu, ameamua kunyamaza akijua atalindwa na mama Abdul, huyu mama kwa ukimya wake anaendelea kutoa kibali kwa Mpina atupige apendavyo mbele ya safari.
Ni kiongozi wa ajabu sana kuwahi kuliongoza hili taifa, hajaui kabisa anachofanya ikulu, tunapigwa kila upande ametulia anatazama anajibatiza na jina kujiita chura kiziwi, kiongozi asiyeweza kujibu tuhuma zinazoihusu serikali yake ni mzigo kwa taifa.
Nimalizie kwa kuwakumbusha wale chawa kina@tlaatlaah Mpina ameamua kujilipua hajali chochote, dhamira yake inamsukuma kusema ukweli na yupo tayari kulipia gharama za ukweli wake sababu anajua ukweli unamuwek huru.
Njaa zenu vichwani na matumboni mwenu havipo kwa Mpina, anawatumikia watanganyika na wapiga kura wake, adhabu yoyote mtakayompa kwa kuzidi kuwaonesha udhaifu wenu kwake yupo tayari.
Nasimama Nae.