FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ana maana kwa lipi zaidi?Huyu ndio mtu pekee wa maana kule ma CCM. Mungu amtunze na kumlinda
Eti spika amaemtuhumu, wakati spika kamwambia apeleke ushahidi kama yu mkweli, ni takwa la kisheria za bunge unapomtuhumu kuwa ni muongo.
Huyu sasa nimeamini maneno ya Msukuma, ana matatizo binafsi, tazameni hata macho yake yanaashiria ni mwehu fulani.