mimi sihitaji malipo wala faida yoyote,Mkuu naona CCM inakulipa vizuri sana kutwa kuipigia debe japo haiuziki๐๐๐๐
Siyo lazima sana kushinda bali serikali jinsi itakavyodeal na hilo jambo ujumbe utafika kwamba tuna serikali ya aina ganiKwa mahakama zetu ambazo zinasubiri maelekezo toka juu asitarajie kama zitasikiliza kesi yake au kutoa maamuzi yenye haki.
Lakini angalau atakuwa ameonyesha uzalendo!
"The strongest man in the world is the one who stands alone" unknown author. Go mpina go. Taratibu wajinga watakuelewa na werevu tutakuunga mkono katika mioyo yetuLuhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Kwani una undugu na Bashe wewe ndo Bashe?amini nakwambia jamaa wa kisesa ni muongo asie mzalendo alieKua na nia ya kupotosha serikali na kuitimbukiza nchi kwenya matatizo wakati wa dharura
zingatia nino DHARURA
Mahakama zipi sasa? Hizi za cape verd? ambazo judge ana muogopa mwanasiasa? Hakuna kitu hapoHii ndiyo maana halisi ya uzalendo. Kujitoa na kutetea kwa hali yoyote ile maslahi mapana ya taira.
Yaah! Mahakama zetu zitasema kesi hii inakiuka inaingilia kanuni na madaraka ya bunge.Kwa mahakama zetu ambazo zinasubiri maelekezo toka juu asitarajie kama zitasikiliza kesi yake au kutoa maamuzi yenye haki.
Lakini angalau atakuwa ameonyesha uzalendo!
Kwa hio yy anacholalamika ni sukari kuagizwa nyingi au kampuni hazina uwezo kama alivosema.Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Nipo na wewe Mpina
hakuna haja ya undugu kwenye mambo haya ya kizalendo lwa maslahi ya taifa,Kwani una undugu na Bashe wewe ndo Bashe?
Kibatala, Mwabukusi, Madeleka, Lisu, n.kMwabukusi amuescort ndugu yetu
Hata waliovunja hiyo Sheria walijua mahakama haina meno. Lakini mwacheni atumie Hali yake.Mbona hiyo kesi inaishia kwa Registrar tu? Haikidhi viwango vya kufungua kesi. Asitapetape aende tu kwa Superdoll wakayamalize
Hakuna uzalendo happ. Ni ujinga kidhani una akiri kuzidi basheHii ndiyo maana halisi ya uzalendo. Kujitoa na kutetea kwa hali yoyote ile maslahi mapana ya taira.
Msiomjua mtamuamini ila hakuna wau hovyo nchi hii kushinda huyo jamaa. Ana mauzauza kiasi ukiyajua hata kwa 1% basi hautakaa umuamini milele.Huyu ndo msukuma halisi sio wale wa kuchovya chovya...
HakikaHajakoma kukurupuka na kuita waandishi wa habari?
Sikio la kufa halisikii dawa.
Ni mfaidika na wa zile bei za Kg/10,000. Kwisha habari yao,Hakuna uzalendo happ. Ni ujinga kidhani una akiri kuzidi bashe
Kweli! Kama mpina ni mzalendo kweli ajiuzulu ubunge.Kweli? Siyo kwamba angejiuzulu Ubunge kwanza?