Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Mpina ni shujaa, na namuombea kwa Mungu aendelee na asikate tamaa.Ili muwe mnakaa nyuma ya keybord kumpigania? hatafanikiwa kamwe na anahatarisha unga wa watoto wake, bora akawapiganie Mbwa wa mtaani
Umeenyooka sana tena sana.Tanzania tumeanza kufundishwa nidhamu ya uoga kuanzia kwenye familia..
Ana trendi na Keybord worrior? Tehe tehe, eti ana trendi
Kwenye keyboard kweli wananchi wako naye.siyo kweli, ana trend kila mahali, every other post inamhusu yeye hivyo siyo kweli kwamba anapigania maiti, wananchi wako naye …
Kwenye keyboard kweli wananchi wako naye.
500 billion inafanya kazi,Nimesikitika sana na michango ya wabunge juu ya mpina ! Ndio nimeona umuhimu wa kuwa na wapinzani bungeni ! Kwanza hawajielekezi kwenye hoja ! Ni kama wametumwa au wameagizwa kwenda kumshambulia mpina ! Badala ya kujibu hoja wanapambana na mtu ! Nimeamini hatuna bunge kwa sasa ! Bunge la watu wazima ni kama la watoto ! Kichefu chefu na upuuzi huu tungekuwa na ujasiri au na hata robo ya mioyo ya wakenya kuanzia leo asubuhi kungekuwa na maandamano makubwa nje ya bunge kutetea hoja za mpina !! Upungufu wa sukari isiwe uchochoro wa kuvunja Sheria na kufanya upigaji !! Mpina nchi Iko nyuma yako ,! Na watanzania sio vichaa !! Wana kisesa mteteeni mbunge wenu !
Mpina ni mpumbavu sanaMpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.
Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.
Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.
Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Well chadema knew this, wanapigania kizazi kilicho lala.Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.
Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.
Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.
Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Hata upinzani unaojinasibi unawatetea watanzania wamekaa kimya...Huu ni msiba mzito sana Kwa nchi yetuMpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.
Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.
Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.
Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Chadema wanapoteza muda tu,Well chadema knew this, wanapigania kizazi kilicho lala.
Upinzani ni Ideology, sio mtu, sasa sijui unasemaje,Hata upinzani unaojinasibi unawatetea watanzania wamekaa kimya...Huu ni msiba mzito sana Kwa nchi yetu
Kuishi Tanzania ni laana
Unaiga Swaga za Kigogo 2014 😂😂Jaribu uone kilichomtoa kanga manyoya, Mpina ni mpumbavu sana