johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼