Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jo kasema uongo?Ngoja yule Mzee mkali hasema uzembe na omba omba plus siihasaa za uchawa noo.Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Nasikia kwenye kunogesha sherehe za CCM kuna watu walipakwa tope?Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Amejua Leo?
mpinzani ndani ya CCM (self mutilation disorder), uchaguzi ujao atapumzishwa for goodHuyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Ukiambiwa huyu mama wa hovyo watu wana lalamika sana, unafuta sherehe za uhuru wa taifa halafu unapoteza pesa kwenye sherehe zisizo na kichwa wala miguu, na kwa vile ndani ya CCM hakuna mwenye akili wote wamejibatiza uchawa wanaona sawa tu na wanashangilia..sherehe za miaka 48 wangezifuta wakafanya mambo mengine.
..utakumbuka CCM walifanya mkutano mkuu hukohuko Dodoma mwezi Januari na kuchoma billions of tax payers money.
Huyu mtu wa kupima urefu wa samaki kantinini ana akili gani ya kushauri CCM.Huyu mpina ndiyo mtu pekee aliyebaki ambaye anawapa ushauri wa kweli ccm
UWT mmeguswa, kama una akili timamu huwezi kutumia zaidi ya 10B kwa maazimisho ya kijinga, sahivi serikalini wanalalamika hakuna fedha, fedha zimeenda kwenye mkutano wa CCM na maazimisho tena ndani ya wiki 2. Nenda serikalini kama unadai uone kama utapata malipo.Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Hii mikutano miwili watu wamepiga pesa vibaya sn mkuu, matokeo ake hazina hakuna hela, watoa huduma wanadai hawalipwi, imefanyika mikutano miwili ya CCM ndani ya wiki 2 ambayo imetumia zaidi ya 30B, kwa mambo ya kijinga kabisa. ni bure tupu mkuu.Ukiambiwa huyu mama wa hovyo watu wana lalamika sana, unafuta sherehe za uhuru wa taifa halafu unapoteza pesa kwenye sherehe zisizo na kichwa wala miguu, na kwa vile ndani ya CCM hakuna mwenye akili wote wamejibatiza uchawa wanaona sawa tu na wanashangilia
Pesa zinapigwa balaa mkuu, huyu maza ameanzisha mradi gani mkubwa tangu 2021 zaidi ya mradi wa chawa?..sherehe za miaka 48 wangezifuta wakafanya mambo mengine.
..utakumbuka CCM walifanya mkutano mkuu hukohuko Dodoma mwezi Januari na kuchoma billions of tax payers money.
Anahangaika nini na ccm hari leoHuyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Bajeti ya Mapokezi ya Tundu Lisu Ikungi Singida ni tsh 500m 😀UWT mmeguswa, kama una akili timamu huwezi kutumia zaidi ya 10B kwa maazimisho ya kijinga, sahivi serikalini wanalalamika hakuna fedha, fedha zimeenda kwenye mkutano wa CCM na maazimisho tena ndani ya wiki 2. Nenda serikalini kama unadai uone kama utapata malipo.
Lisu hawezi kufanya huo ushetani, hata milioni 1 haitafikaBajeti ya Mapokezi ya Tundu Lisu Ikungi Singida ni tsh 500m 😀
Hawa wajinga ni wananufaika wa umasikini wa watanzaniaAkili huna, yanayoendelea Dubai yanaendana na siasa ya chama kinachoongoza wewe pumbavu
Niko Kamati ya Mapokezi 😄Lisu hawezi kufanya huo ushetani, hata milioni 1 haitafika
Labda mapokezi ya pombe na nyamaNiko Kamati ya Mapokezi 😄
Unadhani pombe na nyama ni Bure?Labda mapokezi ya pombe na nyama
Lisu hajawahi kuwa mjinga na fisadi, huo utapeli unafanywa na CCMUnadhani pombe na nyama ni Bure?
Hapo bajeti ni million 250 😀