Mpina: Sherehe za miaka 48 ya CCM ni kupoteza Fedha. Wenzetu Dubai Wana miaka 40 tu Lakini hatuwafikii kwa chochote!

Mpina: Sherehe za miaka 48 ya CCM ni kupoteza Fedha. Wenzetu Dubai Wana miaka 40 tu Lakini hatuwafikii kwa chochote!

Mpina ni mwana ccm halisi, na anaijua ccm ,sasa kutana na hawa wamiaji haram ndani ya ccm ,wana ka modo sana, wengine hata ccm hawajui ilipatika vipi, katiba ya chama nayo hayajui bola liende tu ,ndo maana yanaburuzwa tu, mengine yajipaka mpaka matope eti wanasherekea ccm

Wengine wameanza kuvaa sijui nguo gani wanaita.

Milembe ipanuliwe mapema sana
 
Alikuwa anapima samaki kwa ruler.Sasa atazipima kwa pua.
 
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM

Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai

Mpina ni Bure kabisa 🐼
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
NI kipindi cha mavuno, sasa hivi misanii yote TZ imegeuka kuwa nimi-chawa ya mama yao.
Hili Taifa ni balaa.
 
CCM
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM

Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai

Mpina ni Bure kabisa 🐼
Ni wafujaji wa mali za uma, ukweli usemwe
 
Mimi mwenyewe Huwa nashangaa sana kuona wanasherehekea miaka kadhaa wakati hakuna kitu Cha maana walichofanya zaidi wamesababisha maisha magumu Kwa watanzania.
Hii kauli hawapendag kabisa kuambiwa,hvyo futa hii comment kabla wasira hajaiona
 
Sio code kweli hi? Ni kama unamsifia Mpina indirect bro but 2D's zinasaidia kufungua code ndogo ndogo kama hizi yaani
 
Don't think so; huyu hahami na akihamia kweli Chadema then nitaamini maneno ya Chahali, the former shushushu wa bongo movie
Haami CCM kwasababu haipendi, atahama CCM kwasababu CCM haitamsimamisha Kisesa!
P
 
Haami CCM kwasababu haipendi, atahama CCM kwasababu CCM haitamsimamisha Kisesa!
P
Siamini hilo bro, October sio mbali, tutunze risiti hizi kaka. Yule atasimamishwa kwa chama chake na kampeni watampigia, sababu zinajulikana kaka.
 
Yule sio Mpina Kuna dude kubwa nyuma yake linamwamrisha aseme na ameshaambiwa tutakulinda , so hapo Mpina ni Spika tu ila Mixer Muongeaji mwenyewe wapo nyuma.

Jichanganyeni kumsaka huyo Mpina sasa
 
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM

Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai

Mpina ni Bure kabisa 🐼
Wapuuzi kila anayesema ukweli ni mpinzani,
Unsettled mind political part CCM!
 
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM

Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai

Mpina ni Bure kabisa 🐼
Mpina anataka afukuzwe ili apate kiki/umaarufu wa kuondokea, na CCM wamemkaushia, wanasubiri mpaka wamkate au aondoke mwenyewe.

Mama hampi mtu umaarufu
 
Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM

Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai

Mpina ni Bure kabisa 🐼
Huyu mama yenu ni mfujaji sana sana wa fedha za chama na serikali ,hana kioaombele chochote kwake
 
Back
Top Bottom