johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna mara nyingine mtu ambaye yupo desperate kufa anajipitisha pitisha ili umguse waseme unemuua.Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinhanishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Wewe husherehekei Happy Birthday? 🐼Mimi mwenyewe Huwa nashangaa sana kuona wanasherehekea miaka kadhaa wakati hakuna kitu Cha maana walichofanya zaidi wamesababisha maisha magumu Kwa watanzania.
Huyu mpina ndiyo mtu pekee aliyebaki ambaye anawapa ushauri wa kweli ccmKuna mara nyingine mtu ambaye yupo desperate kufa anajipitisha pitisha ili umguse waseme unemuua.
Muache ajifie, hakuna kumgusa huyu
Amejua Leo?Mpina anajua mnachezea kodi zetu kugharamia sherehe za CCM.
Kodi zenu ??? Baba anapokula mali yake mtoto usilallamike.Tafuta ya kwako.CCM ni baba yenu ! anakula vyake.Mpina anajua mnachezea kodi zetu kugharamia sherehe za CCM.
Msimu wa wabunge kuhama haujafika. Mpaka Bunge livunjwe!Huyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
mpina limbwata la ccm limemshindwa nyie wengine mmelishwa mafi yenuHuyu Mbunge wa Kisesa Mh Luhaga Mpina angehamia Chadema tu mapema iwezekanavyo badala ya kusengenya sengenya kila jambo linalofanywa na CCM
Sasa utalinganishaje Chama Cha siasa na Dubai
Mpina ni Bure kabisa 🐼
Kuna mara nyingine mtu ambaye yupo desperate kufa anajipitisha pitisha ili umguse waseme unemuua.
Muache ajifie, hakuna kumgusa huyu
Wewe sio Mwana CCM ningeshangaa kama usingeshangaa!Mimi mwenyewe Huwa nashangaa sana kuona wanasherehekea miaka kadhaa wakati hakuna kitu Cha maana walichofanya zaidi wamesababisha maisha magumu Kwa watanzania.
Mkuu, kila mtu anayo birthday yake: lakini ni watu wachache sana wanao sheherekea hiyo BIRTH-DAY yao; na hao ni wale tu waliofanyikiwa kimaisha: wale wenye uwezo wa kifedha uliotukuka. Kwa mantiki hiyo: Nchi nazo ni budi ziwe viivyo hivyo.Wewe husherehekei Happy Birthday? 🐼