Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.

My take
Kwa maoni yangu vijana wa namna hii wako wengi wanapanda ndege, treni, flyover na kuwasha umeme wa bwawa huku nafsi zao zinawasuta sana maana walidanganywa na wanasiasa matapeli wasio na maono wala uzalendo wowote kwa taifa la Tanzania wakaishia kumtukana hayati Magufuli kwamba ni mshamba badala ya kutumia nguvu zao kuungana na Magufuli kujenga nchi wao wakatumia nguvu zao kumtukana na sasa wanajuta.
AENDE AOMBE MSAMAHA KWENYE KABURI LA JPM .HATA TUNDU LISSU NA CHADEMA WATATUMIA SGR KWENDA KUMPONDA HAYATI JPM DAR AU MORO.WANASIASI NI SHIIIDA SANA
 
Mimi Jiwe nilimpenda kwa YOTE isipokuwa nilimchukia kwa jinsi alivyokuwa akionea wafuasi wa vyama vya upinzani na kuwafunga magerezani kwa kesi za kutengenezwa!
Watu waliuawa,waliopona walikuwa wamefanywa vilema!
Aloo! Yule jamaa hapana aise kama ni kuinyosha nchi aliinyosha kikweli kikweli.
Hata hivyo Rest in Peace Magu kwa sababu ya Uchapakazi (Hapa Kazi tu) uliouonyesha.
Sasa ukiwaruhusu watu wakupande kichwani kama pale KENYA nchi itatawalika kweli?
 
AENDE AOMBE MSAMAHA KWENYE KABURI LA JPM .HATA TUNDU LISSU NA CHADEMA WATATUMIA SGR KWENDA KUMPONDA HAYATI JPM DAR AU MORO.WANASIASI NI SHIIIDA SANA

Wanasiasa ni wanafiki sana
 
Ila asee kuna watu wanajua kupika chai dadek yani chai imetiwa viungo kama biriani inanukia had mtaa wa pili 😄😄 HII NI CHAI MKUU
 
Ila asee kuna watu wanajua kupika chai dadek yani chai imetiwa viungo kama biriani inanukia had mtaa wa pili [emoji1][emoji1] HII NI CHAI MKUU

Hata treni ya umeme ulisema ni chai lakini leo watu wanapanda
 
Hata treni ya umeme ulisema ni chai lakini leo watu wanapanda
Mimi lini nilisema SGR ni chai,, hebu niwekee ata screenshot niliposema hayo,, ila hiyo stori ya kwenye sgr ni chai kabisa
 
Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.

My take
Kwa maoni yangu vijana wa namna hii wako wengi wanapanda ndege, treni, flyover na kuwasha umeme wa bwawa huku nafsi zao zinawasuta sana maana walidanganywa na wanasiasa matapeli wasio na maono wala uzalendo wowote kwa taifa la Tanzania wakaishia kumtukana hayati Magufuli kwamba ni mshamba badala ya kutumia nguvu zao kuungana na Magufuli kujenga nchi wao wakatumia nguvu zao kumtukana na sasa wanajuta.
ni hii tu au umetoa na machapisho mengine maana unajitahidi,unaonekana mtunzi mzuri
 
Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.

My take
Kwa maoni yangu vijana wa namna hii wako wengi wanapanda ndege, treni, flyover na kuwasha umeme wa bwawa huku nafsi zao zinawasuta sana maana walidanganywa na wanasiasa matapeli wasio na maono wala uzalendo wowote kwa taifa la Tanzania wakaishia kumtukana hayati Magufuli kwamba ni mshamba badala ya kutumia nguvu zao kuungana na Magufuli kujenga nchi wao wakatumia nguvu zao kumtukana na sasa wanajuta.
Shwain KAMFUFUE UZIKWE WEW IVI KUNA MTU ANAWEZA KUMLILIA MUUA WATU KWELI?
 
Mimi lini nilisema SGR ni chai,, hebu niwekee ata screenshot niliposema hayo,, ila hiyo stori ya kwenye sgr ni chai kabisa

Huna akili ndiyo maana hukumbuki
 
Sipendi CCM , Ila Kwa magufuli Huwa naamini alikua ndiyo kiongozi bora zaidi Africa Kwa wakati wake

Ukitaka ujue we ni mjinga au siyo mjinga angalia kama unamkubali Magufuli.

Hapa wewe umefaulu 100%
 
Back
Top Bottom