Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi...Marekani haina shirika la ndege la serikali.
..pia hatuwezi kuwaiga Ethiopia kwasababu wao walianzisha shirika lao miaka ambayo biashara ya usafiri wa anga ilikuwa haina ushindani mkali kama zama hizi.
Mtanzania original yeye anachojua ni kupinga tu, kila kitu anakitazama katika mtazamo wa mkosaji na sio mtazamo wa kupata.Mpe elimu huyo nyumbu
Mwambie dogo huyo wa Gen Z asilie kwa kuwa:-Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.
Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!
Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.
Amani Amani brotherWewe mzee kumbe upo..
Mbona Lissu aliziita ndege panga boy na anazipanda?
Hawa wanasiasa wakati mwingine wakikuambia jambo,
Changanya na akili zako!!
Bora yeye alitumia fedha hizo kujenga na kununua mandege...mimi nilimpinga Magufuli kununua midege.
..midege inatuletea hasara ambayo hatukupaswa kuibeba.
..pamoja na hayo nitapanda Atcl ilimradi inanifikisha ninapotaka kwenda.
..pia nilipinga ujenzi wa mji Mkuu Dodoma. Fedha na rasilimali zilizotumia Dodoma zingeweza kufanya mambo mengi yenye tija.
..mtizamo wangu haunizuii kutembelea Dodoma.
Kwamba sasa hivi aliyeko hujaona anachofanya?
1. Huoni uchumi unakuwa.
2. Madeni kulipwa kwa wakati.
3. Mishahara kulipwa kwa wakati.
4. Maelewano ya kisiasa na wapinzani.
5. Ajira mamilioni hata jana zimetangazwa ajira za afya 8000
Siyo kila mtu lazma awe rais, kwa kifupi Bi Samia amefanya makubwa, hakuna aliywewahi kufanya hata nusu yake.Haya hata wewe ukiwa rais utafanya tu
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi.
JPM alikuwa na udhaifu wake lakini alijaaliwa maono ya hali ya juu sana. Sekta nzima ya usafiri wa anga kwa sasa inapanda juu kuliko kipindi chochote.
Mtanzania original yeye anachojua ni kupinga tu, kila kitu anakitazama katika mtazamo wa mkosaji na sio mtazamo wa kupata.
Akili ya aina yake imejaa huko mtaani.
Mwambie dogo huyo wa Gen Z asilie lwa kuwa:-
1. SGR kujengwa ilikuwa kwenye vision 2025 iliyoandikwa na BW Mkapa, hivyo kujenga lilikuwa suala la muda
2. J Kikwette alikwisha fanya taratibu za awali hadi kuingia mkataba na Wachina.
3. Magufuli kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe aliwafuta Wachina na kuwaleta Waturuki. Hadi anakufa mwaka 2021 ilikuwa imefika 35%
4. Rais Samia amemalizia 65% hadi kufika Dodoma
Waache wajinga waendelee kumsifia huyo Dikteta kwa kila kitu kwa kuwa ALIWA BRAINWASH
Kumbe sasa hivi hamna hela iliyoelekezwa kwenye hiyo miradi?
Bo
Bora yeye alitumia fedha hizo kujenga na kununua mandege.
Vipi umeshajiuliza chura kiziwi hela zake anapeleka wapi?
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi.
JPM alikuwa na udhaifu wake lakini alijaaliwa maono ya hali ya juu sana. Sekta nzima ya usafiri wa anga kwa sasa inapanda juu kuliko kipindi chochote.
Read to understandUlikuwa unataka Samia asimalizie wakati alikuwa makamu wa rais?
We ni mjinga na mpumbavu mwenye roho mbaya sana