Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.

My take
Kwa maoni yangu vijana wa namna hii wako wengi wanapanda ndege, treni, flyover na kuwasha umeme wa bwawa huku nafsi zao zinawasuta sana maana walidanganywa na wanasiasa matapeli wasio na maono wala uzalendo wowote kwa taifa la Tanzania wakaishia kumtukana hayati Magufuli kwamba ni mshamba badala ya kutumia nguvu zao kuungana na Magufuli kujenga nchi wao wakatumia nguvu zao kumtukana na sasa wanajuta.
Sifa apewe MWENDAZAKE ama huyu wa SASA?

UVCCM na UWT naombeni majibu.
 
Cdm ni wapumbavu na wameshiriki sana kupotosha watanzania
Hawa ndugu zangu una makasiriko nao sana. Siku ukipewa uwezo utawafutilia mbali kwenye kurasa za siasa za nchi hii. Kuna mmoja alijaribu kufanya hivyo, bahati mbaya hakufanikiwa.
 
Hata Mimi anisamahee tu Maghufuli wengi wameuona umuhimu wake baada ya kuondoka.
Bila yeye SGR isijengwa wazee wa malori na mabus wangenyea kinyesi isijengwe
 
Umebaki peke yako bado unapigania legacy. Nakukumbusha kuwa maendeleo kwa wananchi sio hisani, ni wajibu wa Kila kiongozi. Ni ujinga kumsifia kama vile alitoa hela yake binafsi kufanikisha hayo.
 
Hawa ndugu zangu una makasiriko nao sana. Siku ukipewa uwezo utawafutilia mbali kwenye kurasa za siasa za nchi hii. Kuna mmoja alijaribu kufanya hivyo, bahati mbaya hakufanikiwa.

Mchawi na muongo ni watu wa kuchoma
 
Umebaki peke yako bado unapigania legacy. Nakukumbusha kuwa maendeleo kwa wananchi sio hisani, ni wajibu wa Kila kiongozi. Ni ujinga kumsifia kama vile alitoa hela yake binafsi kufanikisha hayo.
Alizisimamia na tukaanza kuona nidhamu makazini na maofisini. 🙄😳

Kwa muda mfupi tu tukaanza kuona heshima na uwajibikaji sehemu zote za Kazi 🙄
Mara ghafla bin Vuu sasa tumerudi kule kule kwenye Enzi za unanijua mimi ni Nani ?!!!!!

Au nasema uongo ndugu zanguni ????🙄😳
 
Alizisimamia na tukaanza kuona nidhamu makazini na maofisini. 🙄😳

Kwa muda mfupi tu tukaanza kuona heshima na uwajibikaji sehemu zote za Kazi 🙄
Mara ghafla bin Vuu sasa tumerudi kule kule kwenye Enzi za unanijua mimi ni Nani ?!!!!!

Au nasema uongo ndugu zanguni ????🙄😳
Kwamba sasa hivi aliyeko hujaona anachofanya?
1. Huoni uchumi unakuwa.
2. Madeni kulipwa kwa wakati.
3. Mishahara kulipwa kwa wakati.
4. Maelewano ya kisiasa na wapinzani.
5. Ajira mamilioni hata jana zimetangazwa ajira za afya 8000
 
Kwa niaba ya CCM tusamehe mkuu!
Ndo maana baada ya lile jamaa kupoteza fedha kuhamia Dodoma sasa tunafanya mambo ya maana.
...tumeshasambaza pikipiki nchi nzima. na Baiskeli zinakuja

..fedha zilizotumika kujenga Dodoma zingeelekezwa kwenye mradi wa umeme Stieglers, ujenzi wa Sgr, au miundombinu bandarini, tungepata faida zaidi.
 
Hakuna maendeleo makubwa bila kutumia akili kubwa inayoona mbali. JPM alikuwa na uwezo wa kutazama mbali na pia ushujaa wa sisi tutafanya wacha wao waseme mpaka wachoke.

Hakuwa na negativity kichwani mwake, hakuna nchi makini isiyo na shirika lake la ndege duniani.

Waethiopia kila siku wanakamatwa ndani ya malori wakikatiza kuelekea South Africa lakini wana Ethiopian Airline shirika maarufu na kubwa la ndege duniani. Pambana na negativities kichwani mwako ili uweze kuiona dunia katika mtazamo mpana zaidi.

..Marekani haina shirika la ndege la serikali.

..pia hatuwezi kuwaiga Ethiopia kwasababu wao walianzisha shirika lao miaka ambayo biashara ya usafiri wa anga ilikuwa haina ushindani mkali kama zama hizi.
 
Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.

My take
Kwa maoni yangu vijana wa namna hii wako wengi wanapanda ndege, treni, flyover na kuwasha umeme wa bwawa huku nafsi zao zinawasuta sana maana walidanganywa na wanasiasa matapeli wasio na maono wala uzalendo wowote kwa taifa la Tanzania wakaishia kumtukana hayati Magufuli kwamba ni mshamba badala ya kutumia nguvu zao kuungana na Magufuli kujenga nchi wao wakatumia nguvu zao kumtukana na sasa wanajuta.
Picha iko wapi ya kumuonyesha kijana akilia ili tuamini ulichoandika ni kweli
 
Shetani ni wewe unayechukia maendeleo ya watanzania
Shetani ni yule mnayemwabudia aliyewafilisi kina Manji kwa roho mbaya yake na ndo mana alikufa kifo cha kifala kabisa!!
 
Back
Top Bottom