Mpinzani halisi wa Alikiba ni MarLaw, sio Diamond...

Mpinzani halisi wa Alikiba ni MarLaw, sio Diamond...

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Tunaokumbuka, tunakumbuka.

Muziki na ushindani wa kweli ulikuwa enzi za Alikiba na Marlaw. Ni miaka ya 2009 kurudi nyuma huko. Kabla ya Belle 9 na kina Ben Pol kutengenezwa kimkakati kisha kuja Diamond baadaye.

Alikiba na Marlaw walichuana kwenye ligi moja na kina Z-Anto, Matonya, MB Doggy, Sumalee, Pingu na Deso, 2 Berry, AT, PNC, Q-Jay, Makamua, Kassim Mganga, Joslin na wengine wengi.

Ni muda mrefu sasa tumekosa ladha ya mchuano wa vipaji halisi. Kama Ally Kiba alipotea na kurudi, why not Marlaw?

Marlaw ndiye muimbaji anayeweza kumchalenji zaidi Ally Kiba kwa sasa, kama ilivyokuwa zamani.

Nimefurahi kuona Master Jay kupitia Marco Chali (MJ Records) ndio wametengeneza wimbo huu mpya. Mpaka sasa unakimbia sana huko YouTube. Soon utakuwa kwenye playlist za redio na mitaani kwenye Bodaboda.



Marlaw - Taa (with lyrics)

NB: Ally Kiba asichukulie vibaya kurudi kwa ushindani huu kati yake na Marlaw. Kwanza wote wana nidhamu na sio watu wa show off na drama. Amuache Diamond apambane na wengine akiwemo Harmonize wake.

Team Diamond na WCB msinielewe vibaya!
 
So ktk hao watatu Mondi,Marlaw na Kiba nafasi ya Mondi ni ipi? Nikusema yupo chini sana kiasi yakua hawezi kushindanishwa na Kiba maana levo za kiba ni Marlaw,ambao wapo juu?au yupo juu sana kiasi yakwamba badala watu kumueka Kiba levo moja na Mondi haingii badala yake levo ya kiba ni Marlow ambao wote wapo chini?
Hebu tufafanulie hapa na ukafanya hivyo nadhani utakua umesha summarize bandiko lako nzima!
 
Kuna kolabo moja yumo Marlaw na wakuringa Kiba inaitwa SHABABI ni kali mno kuna sauti tamu sana. Nyimbo ni ya Geez Mabovu.
HIVI KIBA HANA WASHAURI!!?!
 
So ktk hao watatu Mondi,Marlaw na Kiba nafasi ya Mondi ni ipi? Nikusema yupo chini sana kiasi yakua hawezi kushindanishwa na Kiba maana levo za kiba ni Marlaw?au yupo juu sana kiasi yakwamba badala watu kumueka Kiba levo moja na Mondi haingii badala yake levo ya kiba ni Marlow?
Hebu tufafanulie hapa na ukafanya hivyo nadhani utakua umesha summarize bandiko lako nzima!
Diamond vs Kiba is a mismatch competition!
 
Kuna kolabo moja yumo Marlaw na wakuringa Kiba inaitwa SHABABI ni kali mno kuna sauti tamu sana. Nyimbo ni ya Geez Mabovu.
HIVI KIBA HANA WASHAURI!!?!
Naifahamu. Marlaw alimburuza Kiba vibaya mno mule!
 
Well, am not sure why was it crucial to have diamond name on your thread title if your intention were to only say marlaw is of the same class as kiba.

I mean.. Must you write his name if he ain't good at music as you're preaching?? You could have just ignored him.. Clearly, there is no point in whatever you said. I don't see nothing but crap on the whole post.
 
Marlow hawez kurudi tena kwenye kiwango chake, huyu ni mtu wa Iringa , hafanyi jambo ili kushindana na mtu so uwezo wa kurud vizur kwenye hana ila Kiba na Diamond wanaweza kupotea na kurudi kwa kasi maana wana dam ya Kigoma hawa, dam isiyo na msamiati " kukata tamaa" wao wakipotea jua watarudi na kuwa vizuri kama kaka yao "Mkigoma mwenzao" Kaseja
 
Tunaokumbuka, tunakumbuka.

Muziki na ushindani wa kweli ulikuwa enzi za Alikiba na Marlaw kwa upande wa nyimbo za kuimbaimba. Ni miaka ya 2009 kurudi nyuma huko. Kabla ya Belle 9 na kina Ben Pol kutengenezwa kimkakati kisha kuja Diamond baadaye.

Alikiba na Marlaw walichuana kwenye ligi moja na kina Z-Anto, Matonya, MB Doggy, Sumalee, Pingu na Deso, 2 Berry, AT, PNC, Q-Jay, Makamua, Kassim Mganga, Joslin na wengine wengi.

Marlaw, kama wasanii wengine wengi, walidrop kuanzia 2010. Bahati mbaya wengi walihusisha kudrop kwake kimuziki na siasa za uchaguzi kwa kuwa yeye alikuwa msanii namba 1 kwa wakati ule. Tulitafakari vizuri hapa mwaka 2015 tukaona sio kweli. Mjadala huo upo hapa > Je! Ni kweli Msanii Marlaw alipotezwa na Siasa?

Kwa sababu zozote zile, hazibadilishi ukweli kwamba Marlaw mpaka leo hii ni msanii anayependwa na kumissiwa zaidi na mashabiki kuliko msanii yeyote wa wakati wake. Huo ndio ukweli. Pita mitaani na mitandaoni halafu azungumziwe hata kwa bahati mbaya, maoni ya watu yatathibitisha.

Ni muda mrefu sasa tumekosa ladha ya mchuano wa vipaji halisi kwa sababu ya mambo mengi yaliyotokea kwenye industry ya muziki wa Bongo Fleva kwa miaka hii michache. Lakini shilingi si imeshageuka sasa? Kama Ally Kiba alipotea na kurudi, why not Marlaw?

Tumeona Ally Kiba tangu arudi amekuwa akipata ushindani usiofanana nae. Diamond sio muimbaji mzuri kama Ally Kiba. Japo ni the best kwenye anachokifanya. Marlaw ndiye muimbaji anayeweza kumchalenji zaidi Ally Kiba kwa sasa, kama ilivyokuwa zamani.

Nasisitiza, Marlaw ndio mtu sahihi wa kushindanishwa na Ally Kiba kimuziki. Aliyemshauri Marlaw kujipanga upya na kurudi kwenye game alifanya uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Kurudi kwake kutaanza kurudisha uhondo wa ushindani wa kweli wa muziki huu tulitotoka nao mbali.

Nimefurahi kuona Master Jay kupitia Marco Chali (MJ Records) nao wameshiriki kwenye movement hii ya kumtengenezea wimbo wake mpya aliochagua kurudi nao. Mpaka sasa wimbo unakimbia sana huko YouTube. Sijapata ripoti za kwenye redio na Bodaboda. Social media umeanza kuzunguka. Mpaka kuona mtu kama Maxence Melo anaposti cover ya Marlaw, inaleta picha gani?



Marlaw - Taa (with lyrics)

Namshauri Ally Kiba asichukulie vibaya kurudi kwa ushindani huu kati yake na Marlaw. Wote wana nidhamu na sio watu wa show off na drama. Amuache Diamond apambane na wengine akiwemo Harmonize wake.

Team Diamond na WCB msinielewe vibaya!
pumba kabisa
 
Back
Top Bottom