Mpinzani wa kushindana na Rais Samia 2025 labda atokee CCM

Lissu hana utulivu angekua Rais mfyatukaji sana
 
Vipi Mr.God naye
 
Mpinzani wa kushindana na NEC,TISS na bunduki na mabomu ya polisi hayupo labda twende ki Guinea Guinea
Hiyo ni lugha ya uhaini...utashughulikiwa na wahusika...ninao uhakika saa hizi umeanza kufuatiliwa...
 
Hivi kwenye uchaguzi wa 2025 ni asilimia ngapi wataenda kupiga kura?! Kwa Hali ilivyo sasa nadhani less than 20 percent ya waliojiandikisha ndio watakaokwenda kupiga kura
 
Mpinzani hayupo ni kweli
 
Huyo hata hajui kama yeye ni raisi,anachojua ni kusema kuhusu maumbile yake daily
 



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…