OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga mmechagua porojo mtavuna porojo. Simba Sc ileeeeeee ni moja kati ya vigogo wa Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya [emoji196][emoji196][emoji196] hata vijora haitoshi kununuliaView attachment 1713617
Yanga mmechagua porojo mtafuta porojo. Simba Sc ileeeeeee ni moja kati ya vigogo wa Africa
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Kilaza huyoMo anafanya biashara ya matangazo kwenye jersey ya Simba... Kwa hyo hapo tunaita win win situation..
HahahaaaahhhHiyo ya [emoji196][emoji196][emoji196] hata vijora haitoshi kununulia
lete na hesabu ya mauzo ya bidhaa za Mo kupitia matangazo ya Simba. Mo anajua anachofanya,halafu uwekezaji sio lazima ulipe ghaflaUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
naunga mkono hojaNa sisi kama wanamsimbazi tunamtangaza namungo fc kama mtani wetu mpya mbadala wa uto fc ..
ni ya wapi hiyoKuna haja ya kuanza kushabikia Namungo
Umesahau mkuuu Yanga iliyoambulia ml 15 za kombe la mapinduzi inawekeza ml 2.6 kwa mwaka hivyo ina faida ya karibu mil 12 mpaka sasaUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Unaweza kuwekeza pesa kwenye biashara alafu returns ukaziona baada ya miaka kadhaa.Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Kwani ww inakuhusu nn nyumba usieijua ishia kutazama kwa nje tu inatoshaUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
AiseeeHiyo ya [emoji196][emoji196][emoji196] hata vijora haitoshi kununulia
Acha uongo, juzi kwenye Kikao chao wamesoma ripoti ya fedha wamesema waliingiza 4bil MO alitoa 2bilUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Tulia sindano ikuingie..dawa ifanye kazi.Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.