Mpira ni fedha na mali: Orodha ya clubs zilizoingiza fedha ndefu 2020/21

Mpira ni fedha na mali: Orodha ya clubs zilizoingiza fedha ndefu 2020/21

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210228_061320111390.jpg


Yanga mmechagua porojo mtavuna porojo. Simba Sc ileeeeeee ni moja kati ya vigogo wa Africa
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
 
Mo anafanya biashara ya matangazo kwenye jersey ya Simba. Kwahiyo hapo tunaita win win situation.
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
lete na hesabu ya mauzo ya bidhaa za Mo kupitia matangazo ya Simba. Mo anajua anachofanya,halafu uwekezaji sio lazima ulipe ghafla
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Umesahau mkuuu Yanga iliyoambulia ml 15 za kombe la mapinduzi inawekeza ml 2.6 kwa mwaka hivyo ina faida ya karibu mil 12 mpaka sasa
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Unaweza kuwekeza pesa kwenye biashara alafu returns ukaziona baada ya miaka kadhaa.
Tangia Simba walivyoanza ku-brand bidhaa za MO,Mo keshapiga hela ya kutosha kupitia matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi za Simba.
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Kwani ww inakuhusu nn nyumba usieijua ishia kutazama kwa nje tu inatosha
 
Sisi ni timu ya wananchi hatutaki na hatuitaji pesa za bure bure..
#daimaMbeleMwikoNyuma.
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Acha uongo, juzi kwenye Kikao chao wamesoma ripoti ya fedha wamesema waliingiza 4bil MO alitoa 2bil

Mwaka huu wataingiza 5.4 Mo atachangia 1.2bil
Ila wakiingia Robo MO hatoi kitu na hilo ndio litakuwa lengo la Simba na Mo

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Tulia sindano ikuingie..dawa ifanye kazi.
 
Back
Top Bottom